econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwa hiyo Seneti inaweza kumrudisha?
Ndio, ingawa ni vigumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Seneti inaweza kumrudisha?
Katiba ya Tz ingekuwa kama ya Kenya tungewakomesha hawa walafi wa madaraka hapa TzSiasa za hapo kenya ni 🔥
Kama ukituletea makobazi oversizes tutafurahi sana na kukuongezea mitano tena.Mola akujaalie utufikishie makobazi yetu bila rabsha.Aaaamiiin!🙏Kenya walikataa kuniuzia bandari zao, Tanzania wamenipa zakwao bure kabisa. Nawapenda sana ndugu zangu watanzania, ntawaletea tende na makobazi.
Wanamsibgozia eti anavuta bange ila ni Kutishia kiticha rais,kwenye maandamano yaliyopita gen Z walikuwa wanamtaka awe raisHivi amekosa nini huyu bwana?
Wewe nitakupa kazi bandarini.Kama ukituletea makobazi oversizes tutafurahi sana na kukuongezea mitano tena.Mola akujaalie utufikishie makobazi yetu bila rabsha.Aaaamiiin!🙏
Kumbe ndivyo ilivyo...kwa hiyo Dr. Samia alikuwa ndiye principal assistant wa Dr. Magufuli full stop! Kweli dunia hadaa...kazi iendelee!Tanzania hakuna haja kua na katiba mbovu kama ya Kenya kuhusu mambo ya uongozi. Makamu wa Rais ni principal assistant wa Rais Full stop.
InshaAllah boss!Nitakuwa mwizi balaa.Nitakie kheri!🙏😎Wewe nitakupa kazi bandarini.
Kenya wana akili, hili halina ubishiGachagua alisomewa mashtaka 11 yakiwemo ya Ufisadi, Ukabila na Matumizi mabaya ya Madaraka, ambapo licha ya kujitetea, Bunge limemkuta na hatia
Mbona mchakato mrefu sana kuliko hata upatikanaji wake?!Bado kuna bunge la senet ndio lenye jukumu la kuidhinisha
sio kumbe,Kumbe ndivyo ilivyo...kwa hiyo Dr. Samia alikuwa ndiye principal assistant wa Dr. Magufuli full stop! Kweli dunia hadaa...kazi iendelee!
Wewe takataka, huna akili wala uwezo wa kunielewa, bye bye!sio kumbe,
ndiyo pekee kazi mahususi ya makamu wa rais. Hujawa assigned kazi yoyote na Rais kaa ofisini kwako soma magazeti, rudi nyumbani kwako kalale na mwisho wa mwezi kachukue mshahara wako, full stop.
Lengo la nafasi ya Makamu wa Rais ilikua ni kuepusha kufanya uchaguzi mwingine ambao ni gharama sana endapo Rais atashindwa kutekeleza majukumu yake kwa kuugua au kufariki...
Hata hivyo ni muhimu sana kuzingati 48 laws of power katika kutekeleza majukumu yake ya makamu wa Rais, vinginevyo, yeyote atakae dinda kwenda sambamba na mafundisho ya Robert Greene, atakwenda na maji kama Rigathi Gachagua aliedhani siasa katika nafasi ya Unaibu rais ni kelele kumbe ni sayansi 🐒
kwendra dhako na mihemko yako 🐒Wewe takataka, huna akili wala uwezo wa kunielewa, bye bye!
Wakenya wamekataaWakenya wanajielewa
Sio sisi Watanganyika
Tupo kama wehu
Bandari zinauzwa, Masai wamekuwa wakimbizi, Serengeti inakuwa Kwa uchimbaji, umeme wa kubip, utekaji, Rushwa nk.
Lakini tunaona kama haya hayatuhusu
Mkuu huu ndio Utanzania halisi makosa ya huyu Waziri mkuu tumeyasikia akitamka ukabila kuhusu viongozi wachaguliwe kwa share akipingana na Rais wake leo hii unakuja kunzungumzia Ruto kana kwamba sisi hatufatilii hii ishu kama Ruto angekua na makosa kama hayo nae wangemuondoa pia kwa kura.Ukiacha ukabila, kosa kubwa alilofanya ni kujiunga na Ruto.
Ruto ni mbinafsi, hawezi iva chungu kimoja na mtu yeyote yule.
Ruto ni mzee wa kutumia fursa. Anapokuhitaji atajionyesha kama anaweza hata kufa kwa ajili yako, matumizi na mtu yakiisha anakutupilia kule.
Uhuru alionya sana Wakenya kuhusu Ruto, lakini hawakumuelewa.
Ok. Ila nilikuwa namuongelea Naibu Raisi na si waziri mkuu. Pia ukirejea comment yangu, utaona nimeanza na neno 'ukiacha ukabila' kumaanisha nakubali kuwa ni mkabila japo kuna sababu nyingine mbali ya kauli zake za kiukabila.Mkuu huu ndio Utanzania halisi makosa ya huyu Waziri mkuu tumeyasikia akitamka ukabila kuhusu viongozi wachaguliwe kwa share akipingana na Rais wake leo hii unakuja kunzungumzia Ruto kana kwamba sisi hatufatilii hii ishu kama Ruto angekua na makosa kama hayo nae wangemuondoa pia kwa kura.