Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Hahahaaaaa, naomba nikuambie kitu mkuu, Marekani ndiyo muhimili wa dunia.Vumilia dawa isambae
Na miye naiona hii yaweza tokeaTrump popular votes > Kamala
Trump electoral votes > Kamala
Trump the 47th!
Cuba ya nchi ya kufikirika? 😆 😂Ingekuwa Cuba ni ushindi wa mezani.
Atayebisha anainamishwa asome matokeo
Leo Novemba, 5 mwaka 2024 wananchi wa Marekani wanapiga kura kuchagua rais wa nchi hiyo atakayeongoza kwa kipindi cha miaka minne
Mchuano mkali ni kati ya makamu wa rais wa sasa BI. Kamala Harris (60) wa chama cha Democratic na Bw. Donald Trump wa cha Republican
Trump ana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huu kutokana na imani kubwa kwa wananchi wa nchi hiyo hasa wadhungu weupe na matajiri kuwa atainua uchumi wa nchi hiyo
Atamaliza vita kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mipigano yanayoendelea Mashariki ya kati Israel na Palestine/Hisborrha
Pia wananchi wa USA wanaamini Trump akiwa madarakani atadhibiti wahamiaji haramu kuingia kiholela nchini humo sera ambayo amekuwa akiihubiri kwenye kampeni zake
Soma Pia: LIVE Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Aidha wanaamini mgombea huyo ataimarisha uhusiano wa kibiashara na China na Urusi na kwamba atapunguza migogoro ya kivita kati ya nchi hiyo na China na Rusia hivyo kuimarisha uchumi
Wamarekani wanaamini pia Trump atadhibiti ugaidi nchini mwao na kuwafurusha wahamiaji haramu na kuthibiti utoaji misaada kwa nchi masikini za dunia ya tatu
Karata yangu miye pia napa mwamba Donald Trump kushinda na kuibuka kidedea kwenye uchaguzi wa leo
Comasava
Sasa hapa kahamasisha kupiga kura au kalalamikaTrump kashaanza kulalamikia wizi
Atashinda njaa🤣Trump atashinda.
Sana mkuu tumuache mtoa mada angalia waliosapot uone maajabuEnglish ni tatizo Kwa wengi sana
Ndo mwanzo mkuu mtifuano ni mkaliAsante kw taarifa
Pamoja mtifuano ni mkali INGAwa ni wa hakiSawa
Hapana mkuu!Sio kweli, Marekani una shinda kwa kura.
Kwa hiyo kwa comment hii ndio unajiona unajua sana! Basi tufanye wewe ndio mtaalam wa masuala ya uchumi.Unaelewa unachoongea au unaongea ili mradi tu?
Hiohio mentality iliwasukuma USA kuwapiga sanctions Huawei (china) haya umesikia kufuru anazofanya Huawei kwa sasa?
Bush ndo aliiba mchana kweupe,hadi kesi mahakamaniHapana mkuu!
Wakiona anashindwa mtu wao wanacheza na system Hadi kieleweke!
Awam ya pili ya obama ilibidi kura zihesabiwe manually Ili Obama ashinde kiti Kwa mara ya pili!!Mc Cain alim tight obama sana!
Kule hakuna kamati kuu mzee. Ni wanachama huchagua mgombeaRepublican walifanya kosa walilofanya chadema 2015.,kuliweka " kapi " kuwa mwakilishi wa chama kwenye uchaguzi muhimu
Ndio maana mnafukiwa kwenye vifusi, mnawaza mabaya tuSawa ila walau naota ndoto njema