Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Vumilia dawa isambae
Hahahaaaaa, naomba nikuambie kitu mkuu, Marekani ndiyo muhimili wa dunia.

Marekani kuna wasabato, wayahudi, waislamu, mashoga, wahindi, walokole, wachina, wasagaji, wabudha, weusi, wahindu, wapagani, washinto, wazungu, wakorea, wajapani, wasunni, washia, wahuni, wakatoliki na kila aina ya watu au jamii unayoijua duniani.

Wako kule na wanaishi kwa amani!
Unapoliombea mqjanga taifa kama hilo wewe ni K!
 
Leo Novemba, 5 mwaka 2024 wananchi wa Marekani wanapiga kura kuchagua rais wa nchi hiyo atakayeongoza kwa kipindi cha miaka minne

Mchuano mkali ni kati ya makamu wa rais wa sasa BI. Kamala Harris (60) wa chama cha Democratic na Bw. Donald Trump wa cha Republican

Trump ana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huu kutokana na imani kubwa kwa wananchi wa nchi hiyo hasa wadhungu weupe na matajiri kuwa atainua uchumi wa nchi hiyo

Atamaliza vita kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mipigano yanayoendelea Mashariki ya kati Israel na Palestine/Hisborrha

Pia wananchi wa USA wanaamini Trump akiwa madarakani atadhibiti wahamiaji haramu kuingia kiholela nchini humo sera ambayo amekuwa akiihubiri kwenye kampeni zake

Soma Pia:
LIVE Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Aidha wanaamini mgombea huyo ataimarisha uhusiano wa kibiashara na China na Urusi na kwamba atapunguza migogoro ya kivita kati ya nchi hiyo na China na Rusia hivyo kuimarisha uchumi

Wamarekani wanaamini pia Trump atadhibiti ugaidi nchini mwao na kuwafurusha wahamiaji haramu na kuthibiti utoaji misaada kwa nchi masikini za dunia ya tatu

Karata yangu miye pia napa mwamba Donald Trump kushinda na kuibuka kidedea kwenye uchaguzi wa leo

Comasava

Last time sera zake zilikuwa hizi hizi na akagaragazwa ingawaje ilikuwa kwa margin ndogo...

Ngoja tuone mwaka huu swing states zitapiga vipi kura, raia wengi wameichoka Democrats...
 
Kama ilivyo desturi, kura za kwanza zilipigwa na wakazi sita wa Dixville Notch, New Hampshire, usiku wa manane saa za huko, na watatu walimpigia kura Trump huku watu watatu waliosalia wakipimpigia kura Harris.

Na kura za maoni zinaonyesha kuwa Harris amechukua uongozi katika jimbo kuu la Pennsylvania, na ana uongozi mdogo huko
Wisconsin na Michigan.

Wakati huo huo Trump bado ana uongozi mdogo huko Nevada, Georgia, North Carolina, na Arizona

Source BBC swahili
 
Nasemaje......
Pamoja na USA kutuletea mambo ya gender equality, lakini wao kamwe hawawezi kufanya upuuzi kwa kumpitisha mwanamke aitawale nchi yao aiseeee.

Hapo minajua Trump atashinda then watatengeneza zengwe kwamba Elon Mask ameingilia mfumo ili Trump ashinde
 
Unaelewa unachoongea au unaongea ili mradi tu?

Hiohio mentality iliwasukuma USA kuwapiga sanctions Huawei (china) haya umesikia kufuru anazofanya Huawei kwa sasa?
Kwa hiyo kwa comment hii ndio unajiona unajua sana! Basi tufanye wewe ndio mtaalam wa masuala ya uchumi.
 
Tatizo ni lugha au? Mbona unajihaibisha hivyo
 
Back
Top Bottom