Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Huo black wa Obama wewe unautoa wapi au ndio kulazimisha awe Black,mtu aliyezaliwa na muzungu na mwafrika anakuwaje black??-huyo ni half-casteObama was black, hata obama watu hawakudhani siku itafika, sisemi kwamba kamala anachukua ndoo ila kadiri miaka inavosogea itakuja tokea tu
Anae support ni kamala au wamarekani wenyewe? Hakuna rais ataliondoa hilo, wamarekani wenyewe ndio wanataka na hakiwapi shida, hali athiri uchumi wao wapanmaendeleo ya nchiKsmala huyu anayesupport ushoga na utoaji mimba?
Hata huko UK wananchi ndio huchagua viongozi, sio vyombo vya usalamaVyombo vya usalama US wawaachie waingereza tu, ndio wenye uwezo wa kuamua nani ashinde.
Vyombo vya usalama US wawaachie waingereza tu, ndio wenye uwezo wa kuamua nani ashinde.
Faida kwa Russia maana anakalia eneo kubwa la Ukraine, isitoshe Ulaya pekee haiwezi kuisaidia Ukraine kuendeleza vita.Hiyo ni faida kwa Russia au ni kwa Ukraine?
Kwaninwamarekani wenyewe wanamuitaje. Black, white, hispanic, indian? Au ushawai sikia wanamuita mtu half cast mkuu🤣Huo black wa Obama wewe unautoa wapi au ndio kulazimisha awe Black,mtu aliyezaliwa na muzungu na mwafrika anakuwaje black??-huyo ni half-caste
Sasa marekani ninachokikposa nini? Kunanihusu nini mimi?Maneno ya mkosaji
Trump has fucken Harris! don't you see!!?what si going on?
Harris namba zinapanda kwa kasiTrump has fucken Harris! don't you see!!?
Ni kweli bosi, ila kwenye mifumo dume hata kama baba kwenye nyumba kazi yake kuvaa suruali tu ila kama nyumba ina Baba inaheshimika hata kama mama ndiyo bread winner wa familia. Lijue hilo na ndicho nilimaanishaRaisi hana impact huko
Sawa mkuuNi kweli bosi, ila kwenye mifumo dume hata kama baba kwenye nyumba kazi yake kuvaa suruali tu ila kama nyumba ina Baba inaheshimika hata kama mama ndiyo bread winner wa familia. Lijue hilo na ndicho nilimaanisha