Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Trump sio kabisa.

Ana sera mbovu sana za uhamiaji.

Hataki wahamiaji kule marekani.
Wahamiaji wana vurugu sana acha washugulikiwe

Niliishi Mozambique kama mhamiaji nikiwa na watanzania wenzagu nilichokiona kutoka kwa wagen pale Mozambique hakikuwa kitu kizuri

Kwanza ni wezi pili wahalifu tatu wanazarau wenyeji

Wahamiaji wengi ni washenzi sana

Mfano mdogo angalia mwanza kuna wahamiaji wanaitwa wakurya ni wezi baraa butimba gerezan wamejaa wao tu

Mhamiaji sio mtu wa kumuonea huruma

Angalia wasomali walivyo vuruga aman ya majiran zetu wakenya
 
Trump anatakiwa na wamarekani wengi ila mfumo wa kishetani ambao umekamata america haumtaki sasa ashinde kwa neema ya Mungu tu kama alivyoshindaga Magu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…