Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Lissu kiboko ya uchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki, Uhuru na maendeleo ya watu.lissu ajikite kufafanua kauli mbiu hii ya kupendeza kwa kina.Kwa mfano mamlaka za serikali kutoa upendeleo kwa watu kwa misingi ya vyama vyao limekithiri sana..
Nani wa Chato apanda ndege?Wana Geita mkataeni anawatukana kuwa mmependelewa maendeleoView attachment 1578131
Umemaliza wote uliobaki kichwani?Safari ya kuing'oa CCM ni ngumu na ninafuu ya kutembea Kwa mguu kwenda sayarini, unapokuwa na mtu aliyedhamilia kufanya hivyo na hatojali atafika lini huko, inahitaji kutiwa Moyo ili aendelee na Safari,ingawa mpambanaji huyo aweza kufia njiani na kizazi cha kizazi chake ndio kitakachokuja kufika sayarini tayari Kwa kuing'oa CCM
Tusichoke kuwatia moyo watu kama hao wanaotia Nia, lakini tusisahau kutumia sayansi zaidi ya hao waliotangulia kufika huko sayarini na wakaweka mizizi yao huko,
Akili kubwa inahitajika zaidi ktk Safari hizi na sio Maneno na upambe mwingi
Nimalize Kwa kusema, Atashinda tena, NDIYO, Magufuli atashinda tena Kwa ushindi mkubwa kuliko ule 2015,
Naomba mliokamia saaana eti huyo mbeligiji atashinda, jihadharini msije kuanguka mkazikwa bule Kwa kuwa atashindwa vibaya Sana, ni Bora kuanza kuizoea hiyo Hali kidogokidogo, mwisho wa siku maisha yanaendelea
Hutaamini macho yenu. Na mbinu inayotumika ni kubwa.Safari ya kuing'oa CCM ni ngumu na ninafuu ya kutembea Kwa mguu kwenda sayarini, unapokuwa na mtu aliyedhamilia kufanya hivyo na hatojali atafika lini huko, inahitaji kutiwa Moyo ili aendelee na Safari,ingawa mpambanaji huyo aweza kufia njiani na kizazi cha kizazi chake ndio kitakachokuja kufika sayarini tayari Kwa kuing'oa CCM
Tusichoke kuwatia moyo watu kama hao wanaotia Nia, lakini tusisahau kutumia sayansi zaidi ya hao waliotangulia kufika huko sayarini na wakaweka mizizi yao huko,
Akili kubwa inahitajika zaidi ktk Safari hizi na sio Maneno na upambe mwingi
Nimalize Kwa kusema, Atashinda tena, NDIYO, Magufuli atashinda tena Kwa ushindi mkubwa kuliko ule 2015,
Naomba mliokamia saaana eti huyo mbeligiji atashinda, jihadharini msije kuanguka mkazikwa bule Kwa kuwa atashindwa vibaya Sana, ni Bora kuanza kuizoea hiyo Hali kidogokidogo, mwisho wa siku maisha yanaendelea
Mawazo yule aliekuwa jambanoko mkuu, rafiki yake Lema mwizi wa magari ?Wakuu nawasalimia kwa salamu ya ukombozi , leo tena yule mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano yake ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi , ambapo leo atakuwepo Geita , huu ndio Mkoa aliouawa kinyama kamanda Alphonce Mawazo, RIP, mchana wa jua kali huku wauaji wanaofahamika hawajakamatwa hadi leo.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .
=======
Hizo hizo zinatosha pia, hata wakiwa watu wawili kwenye mkutano watapeleka taarifa hao haoZile za ku edit nyomi 🤣🤣🤣🤣🤣
Wana Geita mkataeni anawatukana kuwa mmependelewa maendeleoView attachment 1578131
Jikosoe Kwanza.Kwani huwezi kutulia ukqandika vizuri?
Hio picha kwenye avatar ya kwako kweli...maana daa very beautifulTeam JPM tukutane kwenye Uzi wangu
Muda huu...Mji mdogo wa Katoro Geita bodaboda wazuiwa kufunga bendera za CHADEMA,Wakuu nawasalimia kwa salamu ya ukombozi , leo tena yule mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni Mh Tundu Lissu anaendelea na mikutano yake ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi , ambapo leo atakuwepo Geita , huu ndio Mkoa aliouawa kinyama kamanda Alphonce Mawazo, RIP, mchana wa jua kali huku wauaji wanaofahamika hawajakamatwa hadi leo.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika .
=======