Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,183
- 3,521
Acha ujinga wako, sema sina muda nae. Sie wengine ndio tunashinda nae huku kwetu na mitandaoni.Yaani kwa taarifa tu hakuna mtu mwenye muda na huyo mabagafresh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wako, sema sina muda nae. Sie wengine ndio tunashinda nae huku kwetu na mitandaoni.Yaani kwa taarifa tu hakuna mtu mwenye muda na huyo mabagafresh.
Wanaujua mziki wa Geita Lowassa alipita pale akajinyea jee huyu mabagafresh sianaenda kujiharishia.Hi taarifa mleta mada uliileta saa nne asubuhi saa hizi inaelekea saa kumi na Moja Giza linaingia napata hasira hamna update hiyo ya Geita?.Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema badio hakijamaliza kazi tu?
We kajamaa mbona unafanya mambo yw kise*****" hapo ndiyo Geita yaani mmeshindwa hata kuediti tetemeko na Geita wapi na wapi???
Mbona mama yako anajibizana mtandaoni bila kupewa hela?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani una roho ngumu mpaka Shetani anakushangaa aisee, maana nasikia Mwenyekiti amekataa kutoa hela ya kujibizana mitandaoni, lakini wewe nakuona bado umo, au bado posho yako haijakatika??
Subiri kidogo giza liingie kitengo cha uchakachuaji picha Cha chadema bado wako studio wanamalizia kaziYaani haka kajamaa kaongo kweli mbona hutumi picha za mapokezi ya Lissu Katoro na Geita???
Sasa mbona ameogopa kupita Chato ...anajua fika mziki wa chato.Acha ujinga wako, sema sina muda nae. Sie wengine ndio tunashinda nae huku kwetu na mitandaoni.
Naomba picha za hao watumishi wa Umma majasiri niwaoneNI YEYE.
Geita chato na Viunga vyake shamra shamra ndelemo na vifijo kumlaki Rais wao.
Kazi zote zimeaimama Geita wajasiliamali,watumishi wa Uma,vibarua machinga Boda boda wapo njiani kumpokea Mkombozi wao.
Kawadanganye amabao hawako Katoro! Narudia tena niko hapa stamiko watu wajo busy nashughuli zao Kama kawaida.Niko Katoro hali si ya kawaida kila nikigeuka Lissu Lissu nikasema kuna nini, yani kuna taharuki kila mtu amekaa atention akisema anatokea anatokea..ukiangalia magari yanayokuja sio yeye..
Huyu jamaa anawaharibu watu vichwa, shughuli za uchumi zilipaswa kuendelea, hivi sio sawa
Keshambariki na ndio mana yupo hai mpaka leoMungu mbariki Lissu
Aliyewaloga bado yupo hai mumtafute mmalizaneSubiri kidogo giza liingie kitengo cha uchakachuaji picha Change chadema bado wako studio wanamalizia kazi
chuki zako zinakufanya hata mtanzania mwenzio umwite mbeligiji?Safari ya kuing'oa CCM ni ngumu na ninafuu ya kutembea Kwa mguu kwenda sayarini, unapokuwa na mtu aliyedhamilia kufanya hivyo na hatojali atafika lini huko, inahitaji kutiwa Moyo ili aendelee na Safari,ingawa mpambanaji huyo aweza kufia njiani na kizazi cha kizazi chake ndio kitakachokuja kufika sayarini tayari Kwa kuing'oa CCM
Tusichoke kuwatia moyo watu kama hao wanaotia Nia, lakini tusisahau kutumia sayansi zaidi ya hao waliotangulia kufika huko sayarini na wakaweka mizizi yao huko,
Akili kubwa inahitajika zaidi ktk Safari hizi na sio Maneno na upambe mwingi
Nimalize Kwa kusema, Atashinda tena, NDIYO, Magufuli atashinda tena Kwa ushindi mkubwa kuliko ule 2015,
Naomba mliokamia saaana eti huyo mbeligiji atashinda, jihadharini msije kuanguka mkazikwa bule Kwa kuwa atashindwa vibaya Sana, ni Bora kuanza kuizoea hiyo Hali kidogokidogo, mwisho wa siku maisha yanaendelea
Ekambee mushiLissu kiboko ya uchafu
Bwashee mbona jina la Gazeti imelikata???Wana Geita mkataeni anawatukana kuwa mmependelewa maendeleoView attachment 1578131
Sikosei sana mkuu, Ila napaswa kweli kuandika, Mtz/beligiji Kwa kuwa ako na uraia mbilichuki zako zinakufanya hata mtanzania mwenzio umwite mbeligiji?
Mungu mbariki Lissu
Safari ya kuing'oa CCM ni ngumu na ninafuu ya kutembea Kwa mguu kwenda sayarini, unapokuwa na mtu aliyedhamilia kufanya hivyo na hatojali atafika lini huko, inahitaji kutiwa Moyo ili aendelee na Safari,ingawa mpambanaji huyo aweza kufia njiani na kizazi cha kizazi chake ndio kitakachokuja kufika sayarini tayari Kwa kuing'oa CCM
Tusichoke kuwatia moyo watu kama hao wanaotia Nia, lakini tusisahau kutumia sayansi zaidi ya hao waliotangulia kufika huko sayarini na wakaweka mizizi yao huko,
Akili kubwa inahitajika zaidi ktk Safari hizi na sio Maneno na upambe mwingi
Nimalize Kwa kusema, Atashinda tena, NDIYO, Magufuli atashinda tena Kwa ushindi mkubwa kuliko ule 2015,
Naomba mliokamia saaana eti huyo mbeligiji atashinda, jihadharini msije kuanguka mkazikwa bule Kwa kuwa atashindwa vibaya Sana, ni Bora kuanza kuizoea hiyo Hali kidogokidogo, mwisho wa siku maisha yanaendelea
Uongo migodi mikubwa ya dhahabu iko Geita Kuna hadi kampuni kubwa la Geita Gold Mine kule.
Hivi unajua kwamba, licha ya matusi yenu bado haitasaidia kuing'oa CCM madarakani mkuu!Dawaamul haal minal muhaal acha kukariri we nguchiro
Hivi unajua kwamba, licha ya matusi yenu bado haitasaidia kuing'oa CCM madarakani mkuu!
Na mwaka huu ni kipigo cha mbwa Koko!!