Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Mbeleko kuu ya ccm ni tume ya uchaguzi.... Hawa polisi wameichoka ccm wanataka wananchi wakinukishe basi
Kweli kabisa mkuu hata matendo wanayofanya Polisi ni ya kichonganishi. Taahira yeye anafikri wako upande wake! Wanavyopiga raia ovyo ovyo wanaichafua serikali ili wananchi wachukue!
 
Kweli kabisa mkuu hata matendo wanayofanya Polisi ni ya kichonganishi. Taahira yeye anafikri wako upande wake! Wanavyopiga raia ovyo ovyo wanaichafua serikali ili wananchi wachukue!
Laana haijawahi kumwacha mwovu salama,wanayofanya ndio yanayowarahisishia wapenda haki kufanya maamuzi Bora na ya ushindi kwao.
 
Tunaamini leo wavushaji hawatakimbia
Kashapata plan B
EkRoJqXX0AI3jHx.jpeg
 
Wakazi wa ukerewe msiniangushe kama ni shida kupatikana basi mkayatafute kwenye vifusi kama kunanyumba ilibomolewa mnayajaza kwenye viroba mnasogea nayo karibu.
Ndipo tulipofikia kumnyamazisha mpinzani ni kumpiga mawe?
 
Wanatuhaadaa kuwa wanakubalika,ilhali hats watoto hawataki hata kuwasikia.
Si uangalie LIVE kwenye TV uone kama hawakubaliki! Mbona mnajitia upofu ?? Hivi unatumia vigezo gani kwamba hawakubaliki ?. Mbelgiji wenu mikutano yake tu haipo live!.
 
Lisu alazimika kuvuka kwa mtumbwi baada ya mashetani kuingiwa hofu.
Nimeamini kweli Lisu anatisha.
 

Attachments

  • FB_IMG_1602665121134.jpg
    FB_IMG_1602665121134.jpg
    11.7 KB · Views: 1
Si uangalie LIVE kwenye TV uone kama hawakubaliki! Mbona mnajitia upofu ?? Hivi unatumia vigezo gani kwamba hawakubaliki ?. Mbelgiji wenu mikutano yake tu haipo live!.
Mmeviteka vyombo vyote kutuaminisha mnakubalika,wakati mnawatisha kwa Sheria za hati za dharura mlizoanzisha,achana na watumishi mnaolazimisha mikutanoni,watoto was should na malori ya sanyasanya kuongeza idadi.
 
Kwa mara ya kwanza alipofika Mwanza alishindwa kuhutubia Ukerewe baada ya wahudumu wa kivuko kutishwa , hivyo kuficha kivuko na kukimbilia kusikojulikana .
Mkuu naamini unachangamsha jukwaa tu ila ogopa sana maneno uumba, acha kujiambukiza ugonjwa mbaya wa kuamini kila jambo baya linaletwa na adui yako....wakazi wa huku tunajua jinsi vivuko vinavyokuwana na karaha zake ndio maana tunawashanga mnapobeza ujenzi wa daraja la Busisi
 
Ikiwa Kampeni zimeshika kasi yule Mgombea ambaye nyota yake inang'ara Mh Tundu Lissu , leo anaendelea na kampeni kwenye Majimbo ya kanda ya ziwa ya Ukerewe na Rorya.

Kama kawaida yetu tuko hewani kukuletea kila kinachojiri kwenye mikutano hiyo .

Endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za Uhakika

View attachment 1599573

=======
Hujuma : Huduma ya kivuko kuelekea ukerewe imesitishwa tangu saa 3 asubuhi baada ya Lissu kufika kivukoni na wahudumu wameamrishwa kujivicha , tunaposema ccm imeishiwa huwa hatutanii

View attachment 1599697View attachment 1599698
Jana imepita salama ..Mungu ni mwema
 
Mmeviteka vyombo vyote kutuaminisha mnakubalika,wakati mnawatisha kwa Sheria za hati za dharura mlizoanzisha,achana na watumishi mnaolazimisha mikutanoni,watoto was should na malori ya sanyasanya kuongeza idadi.
Chombo gani cha habari kionyeshe matusi ya wagombea wenu wewe! Acheni kuvimbiwa ruzuku, anzisheni vyombo vyenu vya habari, sio kutegemea gazeti la Mbowe!
 
Mkuu naamini unachangamsha jukwaa tu ila ogopa sana maneno uumba, acha kujiambukiza ugonjwa mbaya wa kuamini kila jambo baya linaletwa na adui yako....wakazi wa huku tunajua jinsi vivuko vinavyokuwana na karaha zake ndio maana tunawashanga mnapobeza ujenzi wa daraja la Busisi
Acheni uoga, Mara ya kwanza kiliharibika ghafla baada ya Lisu kufika kivukoni na leo pia kimeharibika ghafla baada ya Lisu kufika tena! Acheni ushamba na kuwaona watz wajinga.
Au unataka kusema hata kivuko kinamuogopa Lisu? Kwa dalili hizi Lisu atashinda asubuhi tu
 
Back
Top Bottom