Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Lisu yuko njiani kuelekea ukerewe .
Chadema hawakukanyaga kwenye mzishi ya mamia ya wana Ukrerewe waliokufa kwa ajali ya MV Nyerere ila sasa viongozi wataenda kujazana kule kuomba kura wasivyokuwa na haya.Jimbo la Ukerewe kipindi cha ajali hiyo lilikuwa chini ya CHADEMA na mbunge wa CHADEMA .Baada tu ya mazishi alianchia ngazi kwa uchungu wa kuona chadema taifa hawakukanyaga kwenye mazishi ya mamia ya watu wa ukerewe wakati alipokufa Ndesamburo walifurika na kuitisha michango kibao na hata mbwa wa Nassari alipokufa uongozi wa Chadema ULIHUDHURIA MAZISHI Lakini Mazishi ya WANA ukerewe wapiga kura wao hawakwenda


View attachment 1599647
Kati ya Alie wasababshia kifo watu na ambae akwenda msibani yupi Hafai?Siku nilpo ichukia CCM maisha yangu yote nisiku ambayo kivuko cha nyerere kilizama afu kada wachama chamapinduzi ambae ndio kiongozi waulinzi na usalama anasema tusitishe uokoaji adi kesho saa moja asubuh.wakat kunawatu wapo ndani yamaji wanagonga kuomba msaada.ivi Roho unaweza iambia ustoke paka kesho waje waniokoe?Tuliokulia ziwani tunajua fika wavuvi huvua usku tena kwanyenzo duni kabsa Kama kalabai,mitumbw.selikal ilshndwa nn kutumia nyeso Kama taa zasora,boti zainjin kuwaokogoa ndugu zetu sku ile?.;Niimani yangu hakuna mpumbavu tena waukelewe atakae woza ipa kura CCM ili ije iwauwe tena.
 
Mkuu naona Magufuli kaamua kutupigia makelele na Chopa lake huku Kawe. Ameshapita kwenda Bagamoyo baada ya mkutano wa Tanganyika Packers kudoda ila Chopa lake limebaki kutupigia makelele na kupiga round angani. Yani utoto tuuuu
Kwani tanganyika packers sio jioni?
 
Badilini mgombea huyu auziki ombeni po kwa tume isogeze mbele mwezi mmoja mpeni JK aokoe chama chenu kufa.Huyu saa 4 asubui hana historia ya kushinda chochote.Sisi tunataadharisha tu Kama tulivyowataadharisha msizuie mikutano ya siasa mtapata tabu hamkusikia.
Sikio la kufa halisikii Nini tena?
 
Rorya kwa Wenje wa magufuli.
Hii wasisahau kuikumbushia ili kuweka misumari wa inchi 6 kabisa kwamba hata Magufuli alishamkubali Mh. Ezekiel Wenje. Machifu wa Kiluo ndio basi kabisa wakishamkubali Wenje
 
Back
Top Bottom