Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Zikiwa zimesalia siku 7 tu kukamilisha muda wa kampeni , leo tena yule Mgombea wenu Jasiri Tundu Lissu anaendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa yenu , ambapo atamaliza kazi kwenye baadhi ya majimbo ya Kilimanjaro na baadaye kuingia Tanga.
Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea kinachoendelea kila anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
========
Lushoto
Mlalo
Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea kinachoendelea kila anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
========
Lushoto
Mlalo