Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Huu uchaguzi usichukuliwe poa kabisa, kuna jambo linaenda kutokea naamini kati ya Lissu au Membe mmoja anakabidhiwa funguo.

Kwa nini Membe?

1. Ifahamikee Lissu anaweza kushinda na akishinda ccm hawawezi kumpa nchi watatumia njia ya ku_bypass na ndipo dodo linamdondokea mbobezi Bernard ikiwa na maana siyo threaten kwa ccm.

Na kwa nini asiwe Lissu?
2. Endapo itafahamika kweli kashinda, msimamo wake na nguvu itakayopatikana kutoka kwa Umma pamoja na watu kusimama imara kwa lolote hii ndiyo njia itakayofanya kwa mara ya kwanza shetani aone haibu.
Weeeee ndio umewaza utopolo kabisa yaani lissu ashinde apewe membe watakiwa hawajipendi
 
Zikiwa zimesalia siku 7 tu kukamilisha muda wa kampeni , leo tena yule Mgombea wenu Jasiri Tundu Lissu anaendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa yenu , ambapo atamaliza kazi kwenye baadhi ya majimbo ya Kilimanjaro na baadaye kuingia Tanga.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea kinachoendelea kila anapopita.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.

View attachment 1605808

========
Kanyaga twende TAL. Mungu akutangulie.
 
Anapoteza muda bure,watanzania hawana imani nae.
sema wew huna iman naye msha zoeya kuwa kama mapunda endeleeni
FB_IMG_16030648541906532.jpg
 
Huu uchaguzi usichukuliwe poa kabisa, kuna jambo linaenda kutokea naamini kati ya Lissu au Membe mmoja anakabidhiwa funguo.

Kwa nini Membe?
1. Ifahamikee Lissu anaweza kushinda na akishinda ccm hawawezi kumpa nchi watatumia njia ya ku_bypass na ndipo dodo linamdondokea mbobezi Bernard ikiwa na maana siyo threaten kwa ccm.

Na kwa nini asiwe Lissu?
2. Endapo itafahamika kweli kashinda, msimamo wake na nguvu itakayopatikana kutoka kwa Umma pamoja na watu kusimama imara kwa lolote hii ndiyo njia itakayofanya kwa mara ya kwanza shetani aone haibu.
Bro unasemaje eti? Kwa mara ya ngapi shetani ataona aibu? Ya kwanza?

No, No, No...

Shetani kwa mara kwanza na ya mwisho alionaga aibu miaka 2000 iliyopita alipoachiaga FUNGUO ZA UTAWALA na UMILIKI na za KUTIISHA na kuzikabidhi mwenyewe kwa lazima mikononi mwa Mfalme wa Wafalme - YESU KRISTO...!

Funguo hizo siku hiyo akatukabidhi mimi na wewe kwa ajili ya KUFUNGA na KUFUNGUA lolote lililo mapenzi ya Mungu tutakalo (Math.16:19 na 18:18)

Ndiyo maana imeandikwa mahali kuwa;

".....nimewapa mamlaka ya kukanyaga NYOKA na NGE pamoja na NGUVU ZOTE ZA YULE MWOVU na lolote mtakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa na mbinguni na lolote mtakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni...."

Utawala huu MUOVU wa CCM na MAGUFULI si mapenzi ya Mungu. Ni lazima ufungwe na kutupiliwa mbali..

Shetani asituhadae. Asitudanganye. Hana nguvu wala mamlaka kuwaweka watu kuwa "captives" wake kwa kutumia mawakala wake hawa kina Magufuli na CCM yake..

Amini hivyo. Chukua hatua ya matendo baada ya kuamini. Twendeni tukapige kura. Twendeni tukampige shetani maana imeandikwa mahali;

"....mpingeni shetani naye atawakimbia...."

Kila kheri kwa kila mwana JF mzalendo na mpenda HAKI na AMANI...!!
 
lisu hawez shida uchaguzi huu Mungu endelea kumpigania magufuli
 
Nini hatima ya majimbo 60 ubunge na madiwani zaidi ya 1000 , CDM watupe majibu pingamizi. Si haki kunyima na kuzuia haki ya mtu kikatiba kugombea ilihali kigezo muhimu ni kujua kusoma na kuandika wala si kukosea herufi na vijisababu vya hovyo.
Wewe una mind hayo 100?? Mwaka 2015 hatukusimamisha madiwani kata 2000, majimbo 90? Sasa tumekosa 1000 kwa hila ambapo mafanikio ni makubwa yanaenda kutokea kuliko wakati mwingine. Kwetu bado ni nafuu ndio maana ilikuwa tishio kwa CCM
 
Uchambuzi wangu wa kijasusi unaonesha Lissu anapata kura nyingi kumshinda mpinzani wake. Kumtangaza ndipo itakapokuwa shida kwani kitendo cha yeye kuwa rais mpinzani wake anaweza kuburuzwa ICC jambo ambalo hayupo teyari kwenda mahakamani
Atatangazwa tu.
 
Back
Top Bottom