Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

watanzania au ww haunaimani nae bro...usisemehe watu semea nafsi yako @ chagu wa malunde saidi
 
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 mkuu huyu meko full safar hii kalamba jiwe la chumvi ya ng'ombe... hatuja sahau /distinction,A+ ,B+ alaf tunarudshwa tena kwny division one,A-plain,B-plain.... mara wazir wa elim kaongea hv...matamko tamko tuh yasiyo na mbelewala nyuma..sahv wakawatamkie ndugu zao wa chatonge hukoo
 
Back
Top Bottom