Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Anafanya utalii maana soon anarudi ulaya kula bata.Zikiwa zimesalia siku 7 tu kukamilisha muda wa kampeni , leo tena yule Mgombea wenu Jasiri Tundu Lissu anaendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa yenu , ambapo atamaliza kazi kwenye baadhi ya majimbo ya Kilimanjaro na baadaye kuingia Tanga.
Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea kinachoendelea kila anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
View attachment 1605808
========
All the bestZikiwa zimesalia siku 7 tu kukamilisha muda wa kampeni , leo tena yule Mgombea wenu Jasiri Tundu Lissu anaendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa yenu , ambapo atamaliza kazi kwenye baadhi ya majimbo ya Kilimanjaro na baadaye kuingia Tanga.
Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea kinachoendelea kila anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
View attachment 1605808
========
Sasa unachoumia ni niniAnafanya utalii maana soon anarudi ulaya kula bata.
Anapoteza muda bure,watanzania hawana imani nae.Sasa unachoumia ni nini
Ikiuma chomoaAnapoteza muda bure,watanzania hawana imani nae.
Ahaaaa,mtatukana sana nyie mabwege.Ikiuma chomoa
Wanafanya utalii ni wale wanaoandamana na malaya kina shilole wakiwaita wasanii.huna haya wala soni mtu alikuwa kwenye matibabu unasema alikuwa anakula bata?? Unatofauti gani na yule shetani muua watu anayejiita raisi wa wawanyonge????Anafanya utalii maana soon anarudi ulaya kula bata.
Ikiuma chomoaAhaaaa,mtatukana sana nyie mabwege.
Mtamchapa risasi ngapi safari hii?.maana aliendaga huko kuokoa uhai wake mliotaka kuundoa.eti changu Wa malunde.Anafanya utalii maana soon anarudi ulaya kula bata.
Ni kweli mkuu baada kazi ngumu ya kampeni lazima akale bata na mama yako usiwe na wasiwasi utapata na zawadi ya jeans wewe chagua rangi tuuAnafanya utalii maana soon anarudi ulaya kula bata.
Mkuu suala la Membe hapo kupewa funguo unaota ndoto za mchana.Huu uchaguzi usichukuliwe poa kabisa, kuna jambo linaenda kutokea naamini kati ya Lissu au Membe mmoja anakabidhiwa funguo.