FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Madhara ya nini, toka lini ulisikia mazayuni wanadhurika?Tunataka picha za Madhara
Wajomba zake mungu hata kuchubuka hawachubuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madhara ya nini, toka lini ulisikia mazayuni wanadhurika?Tunataka picha za Madhara
Tatizo kwenye ulimwengu wa sasa hakuna namna yeyote unaweza ficha ukweli.Hawezi!
Kwanza sasa hivi wanafanya kazi ya kudhibiti hizi taarifa ili ionekane mifumo yao imefanikiwa kudhibiti makombora ya Iran kwenye anga lao.
Ndoyo yale yale ya Russia na Ukraine. Propaganda nyingi kuwa Russia anashindwa wakati maeneo ya Ukraine yanazidi kumegwa.
Anaripot Azam!! hahahahaBasi bishana na Azam
Ndo wamechukua siku 10 kujibu?Hata kama hayajafika lakini ni ujumbe kuwa waajemi sio watu wa mchezo mchezo
We nishakuzoea ukae utulie kipindi kaka zako tunazungumza.Unaongea upuuzi mwingi sana we panya,sokapo hapa.
Andika kwa kiarabu.Its due to the fact that behind Israel's proud and strength there is US[emoji631] support and backup
Msii underestimate Iran.Duh, nafikiri Mrusi amemsaidia sana Iran kwenye teknolojia ya silaha! Iran peke yake asingeweza kutumia hypersonic missiles! Makombora yamefanya uharibifu mkubwa kwenye sehemu muhimu!
Iran struck ‘important’ Israeli military targets – IRGC (VIDEOS)
A large-scale missile and drone attack against Israel has been a success, Iran’s Revolutionary Guard Corps has said in a statement published by IRNA news agency. The Islamic Republic’s military managed to “hit and destroy” some “important military targets
Multiple IDF sites have been “hit and destroyed,” the Islamic Republic’s Revolutionary Guard Corps has claimed
![]()
Iran struck ‘important’ Israeli military targets – IRGC (VIDEOS)
Iran claims it successfully destroyed “important military targets” in Israel in a drone and missile attackwww.rt.com
Una maoni gani na JordanMadhara ya nini, toka lini ulisikia mazayuni wanadhurika?
Wajomba zake mungu hata kuchubuka hawachubuki.
Israel ndio alianza kushambulia ubalozi wa Iran, haya ndio majibu ya Iran akisaidiwa na nchi nyingine nne, kikubwa tunasubiri majibu ya Israel yatakuwa yapi!Kaa na kukaririshwa na mabeberu kwamba wana nguvu za kijeshi wakati ni mapunga tu. Iran kashusha mvua ya makombora ndani ya ardhi ya matapelei wa kizayuni na hakuna kitu atafanya Israel.
Makombora 300 alafu 7 tu ndio yanaanguka Ardhini 😂😂😂Israel ndio alianza kushambulia ubalozi wa Iran, haya ndio majibu ya Iran akisaidiwa na nchi nyingine nne, kikubwa tunasubiri majibu ya Israel yatakuwa yapi!
Piga hesabu, makombora ya dollar elfu kumi yanatunguliwa na makombora ya Dollar million saba kila moja.Makombora 300 alafu 7 tu ndio yanaanguka Ardhini 😂😂😂
Sio kwel that's wrong yupo IsraelNetanyahu kachokoza wahuni alafu ye kakimbilia marekani anawaachia wayahud msala
View attachment 2962699
Wao wanalinda Watu wao kwa Gharama yoyotePiga hesabu, makombora ya dollar elfu kumi yanatunguliwa na makombora ya Dollar million saba kila moja.
Pitia clips juu huko, ile eyapoti imesambaratishwa na nini?
Ww unajal pesa iliotumika ni hiv ingekiw Israel amefire the same kwa Iran..je air defense ya Iran ingemudu??Piga hesabu, makombora ya dollar elfu kumi yanatunguliwa na makombora ya Dollar million saba kila moja.
Pitia clips juu huko, ile eyapoti imesambaratishwa na nini?
Israel alishambulia ubalozi uliopo Syria ila Iran kavurumisha ndani ya Israel moja kwa moja.Israel ndio alianza kushambulia ubalozi wa Iran, haya ndio majibu ya Iran akisaidiwa na nchi nyingine nne, kikubwa tunasubiri majibu ya Israel yatakuwa yapi!
Na Iran anasubiri Israel ajibu ili apewe dozi kamili maana Muajemi huwa hana fake promise.Only few reached targets Israel air security is strong war escalation is a serious offense in my opinion I do believe Israel will retaliate strongly