Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Ukumbuke bila msaada wa Marekani, Uingereza na Ufaransa wa kuanza kutungua makombora kuanzia Jordan. Vinginevyo Israel sahizi ingebaki majivu.Makombora 300 alafu 7 tu ndio yanaanguka Ardhini 😂😂😂
Israel waendelee kuwatumikia mabwana zao Marekani na Uingereza ili wawasaidie ulinzi vinginevyo atapigwa na Iran hadi achakae.