Ukumbuke bila msaada wa Marekani, Uingereza na Ufaransa wa kuanza kutungua makombora kuanzia Jordan. Vinginevyo Israel sahizi ingebaki majivu.Makombora 300 alafu 7 tu ndio yanaanguka Ardhini ๐๐๐
Acha ushetaniWameRetaliate.
Sasa Myahudi kama ni sugu na hachokozeki anapaswa naye kucounter.
Sijui unaelewa maana ya retaliatory strike.
Nataman kuoni Hasira za Israel ktk Hili.
Vita ni strategy kijana, wewe unaamini kuwa hakuna kilichosambaratishwa kwa mazayuni?Ww unajal pesa iliotumika ni hiv ingekiw Israel amefire the same kwa Iran..je air defense ya Iran ingemudu??
Hehe...mtoto wa kipalestina.Kuna mtoto amepigwa kichwani babu... Punguzeni ubishi.
Kitu kama hujaona uliza , unabisha tu hovyohovyo
Soon iran analiwa kibogaVita ni strategy kijana, wewe unaamini kuwa hakuna kilichosambtratishwa kwa mazayuni?
Iran wanalipa kisasi cha kupigiwa ubalozi wao na kuuliwa watu wao.
Hujaliona hilo?
Au ulitaka wakipigwa la kulia wageuze na la kushoto?
Waendelee kulinda, Iran ndio kashambulia hivyo. Jionee:Wao wanalinda Watu wao kwa Gharama yoyote
World war 1 na 2 kaleta muislam??Dini ya uislamu isingekuwepo basi ni wazi kwamba kusingekuwa na vita humu duniani
Hukusikia kuwa kasaidiwa na Marekani,Uingereza na Jordan kupopoa makombora powerfull ipi unayosemeaMleta mada acha siasa za upande. Hapo kwenye Israel is defenseless una proof ipi? So far Israel ameintercept kwa mafanikio makubwa attacks zote alizotumiwa.
Ni vizuri kufikiria at this moment busara zaiwaongoze wote wawili but so far Israel is by far more powerful kwa matokeo ya usiku wa kuamkia leo.
Baadaye utarudi humu kulilia haki za binadamu na hashtagsIran katimiza ahadi yake na operation ya jana kuamkia leo kaiita "Operation Faithful Promise" yaani operesheni ya ahadi ya uaminifu.
Ahsante Iran, umetimiza ahadi yako.
Chief, kama hautojali naomba kuitumia comment yako. Ila hapo kwenye Iran nitaondoa Iran nitapachika Israel.Iran hadi sasa anasubiri nini?
Dah!!! nimecheka sanaaaaNetanyahu kachokoza wahuni alafu ye kakimbilia marekani anawaachia wayahud msala
View attachment 2962699
Hiyo minor material demage in only one air base waioneshe Israel ili tuone... Mainstream media zote zakimagaribi haijaonesha lakin from mtandao wa X tunaona ballistik missiles km 5 zikigonga hiyo airbase hosting F-35 jets vip km hizo Jet zimehaeibiwa hakuna anaejua maana hizi taarifa zinafichwa na US pamoja na Israel yenyewe... Ikumbukwe aya madude yamerushwa umbali wa zaidi ya 1500Km yani urushe drone from Dar up to Uganda ndo ujue kweli Shaheed kamikaze drone ni long range attack drone ever made by IranSituational assessment more than 200 uavs and missiles zimerushwa na Iran na kuzuiwa.
There minor material damage in only one air base
Ww3 ni Russia, NATO, China labda wakiipogana.
Wengine ni regionsl conflicts tu
Kwahyo unataka kusema Israel Ali attack Iran embassy pale Syria in the akitaka michezo ya piga nikupige au analake jambo inmyhonestopinion alitaka hii response Ili aingie Iran rasmi kumbuka ana backup ya west allies Biden ana act et hawez attack Iran pamoja nae ila ukwel ni kwamba netanyau akistrike Iran allies wao watakua nyuma kudefense Incase Iran akijibu mapigo na tambua Israel ata respond strong kabisaVita ni strategy kijana, wewe unaamini kuwa hakuna kilichosambaratishwa kwa mazayuni?
Iran wanalipa kisasi cha kupigiwa ubalozi wao na kuuliwa watu wao.
Hujaliona hilo?
Au ulitaka wakipigwa la kulia wageuze na la kushoto?