Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani ana kambi zake za jeshi kote huko makombora ya Iran yalipopita kashindwa kuzuia.Ulinzi
Kwahyo unafikr ilaq inaweza zuia offense za Iran ukitegemea wote mahasim wa Israel jiongeze na Iran alitoa tamko la atakayeluhus angalake kutumika na Israel watakua maadui
BREAKING: IRAN PRESIDENT EBRAHIM RAISI OFFICIAL STATEMENTIsrael alishambulia ubalozi uliopo Syria ila Iran kavurumisha ndani ya Israel moja kwa moja.
Hapana kamsikia padri akisema hivyo kanisani huku akiwa kamkumbatia kijana mdogo wa kiumeUnaweza kutuwekea ushahidi wa hili? Au umemsikia tu Imam wenu msikitini akisema hivyo?
Madhara ya kula nguruwe minyoo inavyofonza ubongoKelele za chizi.
God Bless Israel
Minyoo ya nguruwe ilivyo athiri akili yakošššWavaa kobazi wana funza kichwani
Hawezi kuthubutu kujibu anajua fika Iran hataniiKwa hali inavyoonekana ni dhahiri kuwa Israel hawezi kurudisha mashambulizi.....NI kwamba amekubali yaishe
Ndio aache kuwaonea wachovu waparestina sasa......Hawezi kuthubutu kujibu anajua fika Iran hatanii
Iran ni nchi kubwa na ana marafiki wakubwa pia
Wapambe wengi pia
Israel anamtegemea šŗšø ambapo yeye amesema hawezi kumpiga Iran direct
Tunaona nchi kama India, Russia, Brazil na China wametoa tamko la amani hii ni kuonyesha kuwa kuna wababe pia duniani
Hii Jamba kidogo tu naona na shelf zimeisha chakula
Kasi itapungua sana SasaNdio aache kuwaonea wachovu waparestina sasa......
Iran dhaifu tunataka mashambulizi endelevuHawezi kuthubutu kujibu anajua fika Iran hatanii
Iran ni nchi kubwa na ana marafiki wakubwa pia
Wapambe wengi pia
Israel anamtegemea šŗšø ambapo yeye amesema hawezi kumpiga Iran direct
Tunaona nchi kama India, Russia, Brazil na China wametoa tamko la amani hii ni kuonyesha kuwa kuna wababe pia duniani
Hii Jamba kidogo tu naona na shelf zimeisha chakula
Hahahaha!!!!Kasi itapungua sana Sasa
Netanyahu kaenda kwa baba yake kuomba msaada badala awe kwenye kwake
Ameona atafute njia ya kutoroka
Mimi naona sio Christian and Muslims, ni Jews vs Muslims hao Christians ni kwamba hawajielewi tu.Mfano ikitokea WW3, Basi itakuwa na influence kubwa ya mvurugano kati ya Christians and Muslims.... Kiasi fulani huenda ikawa ni vita vya kidini
Minyoo mnayo nyinyi kwenye kile kitabu chenu.Minyoo ya nguruwe ilivyo athiri akili yakoššš