LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
BREAKING:

The Russian Foreign Ministry releases a statement saying Iran's attack on Israel was taken:


"as part of the right to self-defense under Article 51 of the UN Charter in response to attacks on Iranian targets in the region."
Wamesahau kuwa Ukraine anachofanya saivi ni self defence. Waache kulalamika na kuona wana haki ya kuishambulia Kiev wakati hawakuwahi kurushiwa hata jiwe.
 
Iran anatakiwa kuwa mwangalifu sana. Anatafutwa kwa muda mrefu sana. Lilianzia kwenye maandamano ikashindikana kuuangusha utawala wa iran. Sasa akawekewa mtego kwenye ubalozi. Nae kaingia kingi.

Ukiipiga Israel ni sawa na emeipiga marekani. Matajiri watoa maamuzi wa Marekani wana asili ya Israel. Hivyo watatumia kila aina ya resouces. Kwenye ishu ya Israel kwa mmarekani hakuna mrengo wa chama.

Kwanini Iran ni threat. Ni ukweli kuwa Iran kwenye technologia ya silaha anakuwa kwa kasi kubwa. Ni hatari mtu kama huyu kuachwa aendelee kukua kwani mrengo wake unajulikana. Hivyo kila sababu ya kumcheleweshwa lazima itafutwe

Iran anatakiwa ajifunze kwa China. Wachina wao hawataki hizi papara za kujitutumua. Kati ya kitu ambacho angetakiwa kufanya ni kuwa na mazungumzo ya hapa na pale huku akiwndelea kujiimarisha kiuchumi na kiulinzi.
Pia swala la kufadhili makundi ya mbalimbali yanayoendelea kufanya vita nchi nyingine litamgharimu. Irani hajakuwa kiasi cha kuanza kufanya anayofanya.

Me naona anaingia kwenye mtego.
Kambi ya marekani kule Iraq 🇮🇶 walisema wata revenge na kweli waliwashamoto kambi ilichakaa,sasa wewe unaendelea kuzungumza kwamba wapo kwenye mtego,huo mtego upi unaozungumza wewe kila siku??ukijiona wewe huna akili basi sio wote hawana akili.
 
Mfano ikitokea WW3, Basi itakuwa na influence kubwa ya mvurugano kati ya Christians and Muslims.... Kiasi fulani huenda ikawa ni vita vya kidini
Ilishatabiriwa mpaka kwenye vitabu vya dini. Vita kubwa ambayo itakamilisha dalili kubwa za mwisho wa dunia ni kati ya Jews na Muslim. Wakristo wapo tu wanaelea elea wanampa nguvu Jew ambae ni mfuasi wa Anti Christ.
 
Mleta mada acha siasa za upande. Hapo kwenye Israel is defenseless una proof ipi? So far Israel ameintercept kwa mafanikio makubwa attacks zote alizotumiwa.

Ni vizuri kufikiria at this moment busara zaiwaongoze wote wawili but so far Israel is by far more powerful kwa matokeo ya usiku wa kuamkia leo.
Yale yale ya Russia imeshindwa vita Ukraine, kumbe jamaa anajimegea maeneo tu,wew endelea kupokea propaganda ukweli mwanaume Iran kapiga,hayo mengine sis hatujui
 
Enzi hizo hakuna internet tunadanganywa tu. Mfano leo ukisikiliza vyombo vya habari makombora yote ya Iran yamekuwa intercepted ila ukienda X unakuta video live kabisa Irone dome inapishana na missile base za Israel zinachakazwa.

Haya ndo yale Yale ya Yom kipur 1973, Egpty kampiga Israel ndani ya siku kadhaa tu, ila propaganda sasa zilizofuatia.
Jaribu kufuatilia Mkuu, hata hizo video ukienda X, hazina uthibitisho kama ni za mashambulizi ya Iran ya jana.
 
Catholic ndio wenyeshida. sisi KKKT na Orthodox tunaishi vizuri tu.
KKKT ni hapa Bongo tu. Usilinganishe kkkt na taasisi kubwa kama Catholic au orthodox.

Ili ujue kkkt ni ya kibongo hebu ona jinsi wachungaji wake walivyo na nguvu kuliko taasisi yao. Muone Kimaro au Matisai.
 
Umechambua deeply sana mkuu, kwa jicho la kiufundi nimekuelewa vizuri.
Kambi ya marekani kule Iraq 🇮🇶 walisema wata revenge na kweli waliwashamoto kambi ilichakaa,sasa wewe unaendelea kuzungumza kwamba wapo kwenye mtego,huo mtego upi unaozungumza wewe kila siku??ukijiona wewe huna akili basi sio wote hawana akili.
 
Jordan na Saudi Arabia zinatoa anga na ilo anga linatumika kwa defense ya Israel tegemea ndege za US UK France pia German anaweza kuja kusupport defence ya Israel sas hapo Israel anauwezo mkubwa wa kwenda kupiga nuclear sites zote za Iran na akijua nyumban huku anausalama wa anga kwa mifumo yake mingi alonayo imara ila pia kwa support ya west
Dah ngoja tu nishie kucheka.
 
🚨 44 Zionist military officers were killed in #Iran's missile attack on Navatim base.

it is interesting...
They say that 99% of the missiles have been destroyed, but they do not allow the images to be broadcast😂
 

Attachments

  • IMG_20240414_140400.jpg
    IMG_20240414_140400.jpg
    306.2 KB · Views: 3
  • IMG_20240414_132622.jpg
    IMG_20240414_132622.jpg
    22.6 KB · Views: 2
🚨 44 Zionist military officers were killed in #Iran's missile attack on Navatim base.

it is interesting...
They say that 99% of the missiles have been destroyed, but they do not allow the images to be broadcast😂
Mbona hatuoni hii taarifa yako Al-Jazeera
 
[emoji599] 44 Zionist military officers were killed in #Iran's missile attack on Navatim base.

it is interesting...
They say that 99% of the missiles have been destroyed, but they do not allow the images to be broadcast[emoji23]
Wafia dini kwa kujipaisha kwa uwongo mliwahesabu saa ngapi hao wanajeshi wa israel
 
Jordan na Saudi Arabia zinatoa anga na ilo anga linatumika kwa defense ya Israel tegemea ndege za US UK France pia German anaweza kuja kusupport defence ya Israel sas hapo Israel anauwezo mkubwa wa kwenda kupiga nuclear sites zote za Iran na akijua nyumban huku anausalama wa anga kwa mifumo yake mingi alonayo imara ila pia kwa support ya west
Ukishiba dona na dagaa wa mafungu basi unaona kila unalowaza wewe ndio upo sahihi,ya Russia mlisema hivihivi huku mwamba anajimegea tu maeneo.Hata huyo Israel akikusikia angekushangaa
 
Back
Top Bottom