Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Haya ndio madhara ya Baba wa Imani Ibrahim kuchepuka. Matokeo yake ameacha kizazi Cha ajabu sana Duniani.
Hana uwezo huo bila msaada. Kama isingekuwa msaada wa usiku kucha ndege za US, UK, Jordan na wengine wengi kwenye angala la mwarabu wa jordan, base nyingi za kijeshi z Israel zingewashwa moto maana Iron Dome ilianza kuchochwa na drones zilizotangulia.Iran wanashangilia mabomu waliyorusha kwenda Israel kama ambavyo Hamas walivyoshangilia Octoba 7 mwaka jana
Changamoto huja kwenye matokeo ya majibu ya Israel, ikumbukwe Iran ni kati ya mataifa yenye mfumo dhaifu wa ulinzi wa anga na hata ujasusi wao upo chini. Hivyo wakipata majibu huenda tukaona malalamiko yale yale kwamba Israel inaua wanawake na watoto.
Tumeshuhudia mara kadhaa wataalamu wake wa nyuklia wakiuawa ndani ya Tehran mji mkuu nk tumeshuhudia miezi kadhaa iliyopita kwenye maadhimisho ya kifo cha kamanda mkuu wa vikosi vya mapinduzi Qasim Soleimani walipigwa shambulio baya zaidi katika historia yao lililopelekea vifo vya zaidi ya watu 100
Wayahudi baada ya kumshinda Adolf Hitler na utawala wake wa wanazi walijiekea formula "We won't forget and we won't forgive" wakiwa na Maana hawatasahau mateso waliyopitia na kamwe hawatamsamehe ataethubutu kuwaumiza
Hii ina maana kwamba tukio la Iran lazima litajibiwa inavyostahili ni suala la muda tu
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema uamuzi watakaochukua hakuna dola yoyote duniani itayoweza kuwazuia
View attachment 2964181
Imani ipi? Asili ya Ibrahim ni Iran. Babu zake na mama zake ni Waajemi. Unakataa?Haya ndio madhara ya Baba wa Imani Ibrahim kuchepuka. Matokeo yake ameacha kizazi Cha ajabu sana Duniani.
Wayahudi baada ya kumshinda Adolf Hitler na utawala wake wa wanazi walijiekea formula "We won't forget and we won't forgive" wakiwa na Maana hawatasahau mateso waliyopitia na kamwe hawatamsamehe ataethubutu kuwaumiza
Hitler alipigwa na USSR pekee. Britain na France walikuwa wamechoka ile mbaya.Mayahudi gani walimshinda Hitler?
Hitler alipokea kipondo kutoka majeshi ya washirika wakiongozwa US, USSR, Britain na France.
Si ndo maana kanasaidiwa ...jambo like wazi kwamba katafutikaSasa hako ka Israel ndio ka kuweka battle na Iran kweli yani man to man.
HAo bwana zako wameua wangapi?Ujumbe wa kuua watu? We kweli ni zwazwa
HawajielewiKuna wakristo bongo huwaambii kitu kwa mayahudi, sijui wamelishwa nini!
Haya ndio madhara ya Baba wa Imani Ibrahim kuchepuka. Matokeo yake ameacha kizazi Cha ajabu sana Duniani.
Hata Marekani ?.......Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema uamuzi watakaochukua hakuna dola yoyote duniani itayoweza kuwazuia
UNAIJUA HISTORIA VIZURI?? AU ULIKARIRISHWA MATANGO PORI NA MCHUNGAJI WAKO??Dola la kishia la Iran na dola la kizayuni ni mtu na ndugu yake. Allah awagonganishe wao kwa wao na awasalimishe Waislam na shari zao na awatoe waislam kati yao kwa salama.