supasoniki tena!The best alizo nazo Iran ni supersonic missiles..
Israel pia anazo hizo plus Nukes
Ngoja tusubiri.Jeshi la Anga Israel tayari limejiandaa mashambulizi
Netanyahu kagoma kupokea simu za viongozi kadhaa
Israel itaenda yenyewe kuipiga Iran
Netanyahu ana kichwa kigumu ni wazi atalipiza lakini Iran nae ameshatoa angalizo kuwa majibu yake yatakua mabaya zaidi. Wacha tuone show imekaribia kuanza.Mtoa taarifa unaposema Israel itaenda yenyewe sawa inaonekana unareport kutoka ktk hilo baraza la vita... Tunaomba utujuze lini Israel itaivamia Iran? Kuhusu Iran kuivamia Israel ilijulikana ni weekend
Mtu ametumia karibia 4 trillion kwwa massa12 , hicho ni kiasi kikubwa sana cha hela , na uchovu wa vita vya gaza amna anayetamani tena wasikudanganyeIsrael hawezi kulipiza leo au kesho itachukua mda hata Marekani kasha mkataza kulipiza haraka,......escalation ya vita itakua kubwa zaidi kuizuia vita ikianza, hizo ni mbwembwe za natanyahu, huo Muziki sio mdogo.
Maskini utawajua tu!Mtu ametumia karibia 4 trillion kwwa massa12 , hicho ni kiasi kikubwa sana cha hela , na uchovu wa vita vya gaza amna anayetamani tena wasikudanganye
Ndiyo nasubiri kumuona Netanyahu akilipiza kisasi. Ila hawana akili wale! Wanajua vyovyote mataifa ya magharibi yatawasaidia. Ila huo moto utakaolipuka mashariki ya kati nakuhakikishia Israel itafutika kwenye ramani.Israel hawezi kulipiza leo au kesho itachukua mda hata Marekani kasha mkataza kulipiza haraka,......escalation ya vita itakua kubwa zaidi kuizuia vita ikianza, hizo ni mbwembwe za natanyahu, huo Muziki sio mdogo.
Ni kweli..Nukes ni political tool sio war weapon, hawezi kuitumia haraka kihivyo.
Saudi Arabia ana mpaka mkubwa sana na ujirani na Yemen kuliko majirani zake wote. Yemen/Houthi ambao ndio Swahiba wakubwa wa Iran na wameiisha pledge kupeleka vijana 400,000Jordan na Saudi Arabia zinatoa anga na ilo anga linatumika kwa defense ya Israel tegemea ndege za US UK France pia German anaweza kuja kusupport defence ya Israel sas hapo Israel anauwezo mkubwa wa kwenda kupiga nuclear sites zote za Iran na akijua nyumban huku anausalama wa anga kwa mifumo yake mingi alonayo imara ila pia kwa support ya west
Ngoja tumuone!Netanyahu ana kichwa kigumu ni wazi atalipiza lakini Iran nae ameshatoa angalizo kuwa majibu yake yatakua mabaya zaidi. Wacha tuone show imekaribia kuanza.
Unasubiri wapate mara ngapi ?Ukwel hii inampa nguvu Israel kwenda Iran maana anaimudu kabisa na yeye anawinda nuclear sites maan Iran akishapata nuclear weapons hapatoshi middle east lakin Biden anakauoga kwa escalation kutokea Ww3 inaweza anzia hapo
Ngoja tuone kila mtu yupo tayari .Ngoja tumuone!
Ila huo moto utakaowaka sidhani kama wataweza kuuzima.
Yani Iran kashambulia jana tu alafu unasema eti ajisahau kweli uko sawa wewe... Kwa akili ya Kawaida Airdefence zote za Iran zipo macho kwasasa....Iran wana early warning radar system za kuona Middle eastern yote... Iran kwa siku za karibuni amefanikiwa kurusha satellite ambazo nazo zinamsaidia kuona mbali hasa kwa hasimu wake Israel...Russia nae anaweza kumtonya kwa satellite zake ambazo zinaona 24hrs nin unafanya...Kurusha Hizo F-35 from Telaviv to Tehran zitapita anga gan bila kuongezewa wese?? Option rahis kwa Israel ni kutumia Germany made dolphin submarine alizonazo kujificha karib kabisa na bahari ya Iran na kurusha cruise missiles ambazo hizo submarine anazo ka 10 ivi so ni limited na option nyingine ni kurusha Jericho ballistic missile capable of reaching Iran nazo anazo chache....Na Israel km ataamua kupeleka ndege zake na Iran akafanikiwa kuzidungua kadhaa atakua ameua soko la US za ndege vita zake kitu ambacho US hataki maana soko la air defense systems za Iran litapata soko...So tusubirini tuonenadhani tuzidi kuomba Mungu vita isiendelee, kwasababu dakika kadhaa zilizopita, inaonyesha israel imeandaa ndege tayari. yaonekana walikuwa wanazuga kuwa wamesitisha ili adui ajisahau wao wapange mipango yao. hali sio nzuri, mafuta yatapanda na maisha magumu africa yanakaribia.
Mtazamo wa kijiografia na uchaguzi wako wa kuwa upande gani ndivyo vinavyokusukuma kusema hivyo,deeply u know nothing.Ndiyo nasubiri kumuona Netanyahu akilipiza kisasi. Ila hawana akili wale! Wanajua vyovyote mataifa ya magharibi yatawasaidia. Ila huo moto utakaolipuka mashariki ya kati nakuhakikishia Israel itafutika kwenye ramani.