GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Yeah first born wangu ni dume la mbegu unataka aje akukaze binti?Umepata dume la mbegu? π π π
Waliharibu mfumo gani wa anga?!Wenzao waliharibu kwanza mifumo ya anga mashariki ya kati yote... Sijui wao watafanya nn, ngoja tuoneπΏπΏ
Hakika kafiri hawezi.jifichaMosad please heat ayatollah khamenei house
Mlipueni yule babu kitabu cha mudi kimemfanya awe mjinga
Umemaliza kupandwa? π π πYeah first born wangu ni dume la mbegu unataka aje akukaze binti?
Unajisahaurisha π π π Lini itainbgia Menopause?
Hivi nyie mkishashiba ugali huwa mnaongea tu mnavyojisikia.Kazi ipo, ila naona hii itazaa may be WWW3 ambacho hakijulikani ni Iran ana SILAHA gani za maangamizi
Maana Yuko tayari kuzitumia
lazima zipigwe Hamna namna sasa..Jeshi la Anga Israel tayari limejiandaa mashambulizi
Netanyahu kagoma kupokea simu za viongozi kadhaa
Israel itaenda yenyewe kuipiga Iran
Do they have any choice..?!Ndiyo nasubiri kumuona Netanyahu akilipiza kisasi. Ila hawana akili wale! Wanajua vyovyote mataifa ya magharibi yatawasaidia. Ila huo moto utakaolipuka mashariki ya kati nakuhakikishia Israel itafutika kwenye ramani.
Hili swali ilifaa umulize mama akoUnajisahaurisha π π π Lini itainbgia Menopause?
Nipo poa. Wasemaje weyeUnaendeleaj hapo ushirombo sheikh?
Hiyo Iran yako inapigana na mdomo sana. Yaan rocket zote down. Hakuna skills hapo ni kelele tu. Vita IPI hapa duniani Iran alishashinda? Nitajie moja tu.Israel kukubali kuogeshwa na mvua ya marocket kutoka Iran bila kujibu mashambulizi ni kuufyata mkia?