LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Iran has made steady progress in West Asia compared to the US/Israeli alliance over the last 30 years. Experts in geopolitics recognize Iran's capability to emerge as a dominant power in the region without resorting to a regional conflict in the foreseeable future.

Therefore, it would not be in Tehran's best interest to risk this strategic opportunity by entering into direct conflict with Israel and potentially involving the US to defend its ally.
 
Tatizo kubwa lililoko Irani ni kuwa serikali ya Kiislamu haiungwi mkono na raia wengi; iko madarakani kwa mabavu tu. Ikishajiingiza kwenye vita, inaweza kusababisha maasi ya ndani yakapata joto zaidi. Ukipata wanafunzi wa kutoka Iran huwa hawarudi tena irani na huwa wanaisema vibaya sana serikali ya Kiislamu
Propaganda kazini tatizo huwa mnaangalia mainstream media ambazo husema

China raia wengi hawaipendi Serikali
Russia raia wengi hawaipendi serikali
Cuba wananchi wengi hawaipendi serikali
Korea ya kaskazini wananchi wengi hawaipendi serikali

Hizo hizo mainstream media watakuambia[emoji1313]
Israel wote wanaipenda serikali....(Lakini maandamano yanapamba moto huko daily hamuyaoni)
Biden na US govt inapendwa na raia
Ulaya yote the same

Ajabu kweli!!
 
BBC na AL Jazeera nawafuatilia sana sioni kama Wana Habari za Iran ambazo ni recently nyingi za toka shambulizi
Media kubwa zote zinalipwa na mazayuni zisirushe habari zisizoluwa na propaganda zao. Na sasa wameanzisha kampeni ya dunia nzima kuwanunua hata media binafsi (Pro Palestine) wasiandike dhidi yao.
 
Media kubwa zote zinalipwa na mazayuni zisirushe habari zisizoluwa na propaganda zao. Na sasa wameanzisha kampeni ya dunia nzima kuwanunua hata media binafsi (Pro Palestine) wasiandike dhidi yao.
Ficha ujinga we ajuza.
Screenshot_20240407-210416~2.png
 
Tatizo kubwa lililoko Irani ni kuwa serikali ya Kiislamu haiungwi mkono na raia wengi; iko madarakani kwa mabavu tu. Ikishajiingiza kwenye vita, inaweza kusababisha maasi ya ndani yakapata joto zaidi. Ukipata wanafunzi wa kutoka Iran huwa hawarudi tena irani na huwa wanaisema vibaya sana serikali ya Kiislamu
Hakuna serikali inayo kubalika kwa raia wote popote hapa ulimwenguni.

Kuna mamilioni ya raia hawaungi mkono serikali ya Iran lakini pia kuna mamilioni ya wengine wanaiunga mkono na ndio maana inaendelea kutawala.
Hivyo hivyo na kwenye nchi zote.
 
Sawa nasubiri kuona ubobezi wa Iran kama vile Watz wanavyoa wapamba kwa kuwaita Waajemi
Tumeshaona hao wa Yakobo watukutu wa toka enzi za kale wasio najema walipigana mpk na mungu achilia mbali kumgomea mikate jangwani kwamba wanataka Diko lingine 😂
Walioteswa na Farao miaka mingi wakapewa kazi ngumu washindwe kunyandua kwa uchovu ila waiii🤣
Hitla akawakusanya kuwaita kiberiti ila wapo tu🤣
Wao mpk leo wanamsubiri mfalme wao yule walisema ni tapeli wakamuaa!!
Wao wanasema ni taifa la Vita tangu asili.
 
[emoji599][emoji599][emoji599]Update: Iran demands Permanent Ceasefire in Gaza, or else!!! Reports that Iran has informed the US and Israel that they will postpone their attack on Israel if the IDF halts all operations inside Gaza!! Is this why Israel withdrew from Gaza??[emoji91][emoji91][emoji91]
Ni wazo zuri kutoka Iran kama ni kweli.

Huu ndo ukomavu sasa
 
W
Serikali zote hata sisi tunasema yetu
..huwezi kuridhisha kila mtu ..sisi kila siku kilio ni CCM imekosea hapa imeshindwa huku imeshindwa kwenye hili au lile .Ni kawaida hayo.

Iran inaonekana ya kidikteta kwa kuwa haina utii kwa marekani Jiulize Iran na Saudia nani Dikteta mbaya lakini Saudia haisemwi mana ina utii kwa Marekani.
WAliomuua Kashoggi 😂
 
Alisema in 48hrs Iran will retaliate offensively by bombing Tel-Aviv nini kimetoka mpaka sasa? Iran hamwangalii Israel maana akimgusa tu ametangaza vita na US na allies wake. Kwahiyo war calculations and speculations sio kama unavyofikiria. Iran anajua kabisa huo ni mtego na ametegwa, IDF lisingeweza kushambulia makazi ya balozi bila kupewa ruhusa na baba ake. Sasa jichanganye
Hawa wsnaangalia juujuu wanajua ngumi za mtaani.

Labda Iran apate Direct Assurance ya Russian Troops on the ground ndo ataattept kumuignore Mamarekani, else siyo rahisi kihivyo
 
[emoji298]️BREAKING

The US is trying hard to prevent Iranian retaliation against Israel, Biden has started to put pressure on Israel to conclude a ceasefire deal as soon as possible, and apparently the US has also asked Oman to mediate with Iran on behalf of the US.

My best geuss is that a complete end to the Gaza war could prevent an Iranian strike on Israel.
Dah Siasa za Dunia kizunguzungu.

Biden ana uchaguzi Marekani na Congress wanamzinguazingua, hatak usumbufu vita nyingine kwani itabidi aombe fedha congress ya kusaidia Israel.

Haya Iran na US ni maadui, sasa wanajadiliana nini?

Siasa hapana ina mengi kuliko ushabiki wetu
 
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa

Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo

Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4

Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu

Hezbollah wapo zaidi laki moja na nusu

Hapo sijazungumzia Hamas, PIJ au Iran yenyewe

Vitakua ni vita vigumu sana.

Israel naye kajiandaa mfano kaanza kuhamisha ndege na baadhi ya silaha nyeti na kwenda kuziweka mafichoni na mahandaki ya dharura yamefunguliwa huko Telaviv

Iran has begun to strengthen its air defences, with massive movements of SAM systems being detected across the country.

The Yemenis have informed Iran that if there is a regional war, more than 400,000 fighters are ready to completely blockade the Red Sea and target US bases in Africa and the Middle East

The Yemenis have recruited 200,000 new fighters since the start of the conflict

The Axis of Resistance is preparing for a possible regional war. The US is the most vulnerable at the moment, with military bases spread across the region.

The Persian Gulf states are considering suspending the operation of US bases on their soil for several days when Iran begins its retaliatory strikes on Israel.

Abu Fadak, leader of more than 250 000 Iraqi fighters, says he is waiting for Imam Khamenei's decision regarding Israel.

Hezbollah leader says everyone should be prepared for all scenarios after Iran's retaliatory strikes pointing to a full-scale war.

Leader of Hezbollah says the attack on Iranian consulate by Israel marks a turning point, there’s what precedes it and has what comes after it.

Stupidity of Israel to target Iran's consulate in Syria could lead to its end

Iran has made it clear that its response will make Israel regret the strike on the consulate.

Israelis have begun stockpiling toilet paper and water for fear of Iranian missile strikes, reports Kann.

The axis of resistance has informed Iran that it stands ready to set Israel and the entire region ablaze if Israel decides to attack Iranian territory

BREAKING

Israeli hospitals have been told to prepare for a mass casualty event amid threats of Iranian missile strikes

[emoji298]️BREAKING

Israel has begun evacuating its embassies in Bahrain, Egypt, Jordan, Morocco and Turkey amid threats by Iran.

[emoji298]️BREAKING

Israel moves dismantled F-16s to unknown locations for fear of missile strikes by Iran on its airbases.

[emoji298]️BREAKING

While Israelis panic, the Israeli authorities say there is no need to buy generators or stockpile food for fear of missile strikes from Iran

[emoji298]️BREAKING

State Department spokesman Matthew Miller says the US has sent a message to Iran urging it not to target American bases and forces following the Israeli attacks on the Iranian consulate.

The entire region is panicking.


View attachment 2956524

BREAKING 20:39 PM

Israel's Defense Minister says: Tel Aviv has completed its preparations to respond to any scenario that is created against Iran.View attachment 2956849

BREAKING 20:45 pm

Herzi Holloway", the Chief of the Joint Chiefs of Staff of the Israeli Army, admitted this Sunday evening that they are currently engaged in a war that they have never experienced before.

Claiming that the Israeli army is ready to respond to any possible attack by the Islamic Republic of Iran, Holloway claimed: "Iran refuses to fight directly with us, but we know that it has ordered all its forces to attack Israel." .

The Israeli are very afraid of Tehran's response since the day they targeted the consular section of the Islamic Republic of Iran's embassy in Damascus. The Israeli army also admitted that it is on full alert after this attack.

Update:"We will give #Israel a response they have never seen before."

-Defence Minister of #Iran [emoji1130]

00:58 am [emoji298]️BREAKING

It is now confirmed that Iran has told the United States that it can avoid a direct strike on Israel by signing a permanent ceasefire deal in Gaza.

It should also be noted that Israel has given its negotiating team a stronger mandate and has withdrawn its troops from southern Gaza.

00:59 am [emoji298]️BREAKING

The US is trying hard to prevent Iranian retaliation against Israel, Biden has started to put pressure on Israel to conclude a ceasefire deal as soon as possible, and apparently the US has also asked Oman to mediate with Iran on behalf of the US.

My best geuss is that a complete end to the Gaza war could prevent an Iranian strike on Israel.
.
.
BREAKING[emoji298][emoji298][emoji298][emoji298][emoji298]

Some local sources in Syria report that Iran has sent new equipment to western Syria.

The 88th division of the Israeli army is also on full alert and is stationed in the north of the Israel bordering Lebanon
Weka link ya vyanzo vya habar yako
 
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa

Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo

Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4

Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu

Hezbollah wapo zaidi laki moja na nusu

Hapo sijazungumzia Hamas, PIJ au Iran yenyewe

Vitakua ni vita vigumu sana.

Israel naye kajiandaa mfano kaanza kuhamisha ndege na baadhi ya silaha nyeti na kwenda kuziweka mafichoni na mahandaki ya dharura yamefunguliwa huko Telaviv

Iran has begun to strengthen its air defences, with massive movements of SAM systems being detected across the country.

The Yemenis have informed Iran that if there is a regional war, more than 400,000 fighters are ready to completely blockade the Red Sea and target US bases in Africa and the Middle East

The Yemenis have recruited 200,000 new fighters since the start of the conflict

The Axis of Resistance is preparing for a possible regional war. The US is the most vulnerable at the moment, with military bases spread across the region.

The Persian Gulf states are considering suspending the operation of US bases on their soil for several days when Iran begins its retaliatory strikes on Israel.

Abu Fadak, leader of more than 250 000 Iraqi fighters, says he is waiting for Imam Khamenei's decision regarding Israel.

Hezbollah leader says everyone should be prepared for all scenarios after Iran's retaliatory strikes pointing to a full-scale war.

Leader of Hezbollah says the attack on Iranian consulate by Israel marks a turning point, there’s what precedes it and has what comes after it.

Stupidity of Israel to target Iran's consulate in Syria could lead to its end

Iran has made it clear that its response will make Israel regret the strike on the consulate.

Israelis have begun stockpiling toilet paper and water for fear of Iranian missile strikes, reports Kann.

The axis of resistance has informed Iran that it stands ready to set Israel and the entire region ablaze if Israel decides to attack Iranian territory

BREAKING

Israeli hospitals have been told to prepare for a mass casualty event amid threats of Iranian missile strikes

[emoji298]️BREAKING

Israel has begun evacuating its embassies in Bahrain, Egypt, Jordan, Morocco and Turkey amid threats by Iran.

[emoji298]️BREAKING

Israel moves dismantled F-16s to unknown locations for fear of missile strikes by Iran on its airbases.

[emoji298]️BREAKING

While Israelis panic, the Israeli authorities say there is no need to buy generators or stockpile food for fear of missile strikes from Iran

[emoji298]️BREAKING

State Department spokesman Matthew Miller says the US has sent a message to Iran urging it not to target American bases and forces following the Israeli attacks on the Iranian consulate.

The entire region is panicking.


View attachment 2956524

BREAKING 20:39 PM

Israel's Defense Minister says: Tel Aviv has completed its preparations to respond to any scenario that is created against Iran.View attachment 2956849

BREAKING 20:45 pm

Herzi Holloway", the Chief of the Joint Chiefs of Staff of the Israeli Army, admitted this Sunday evening that they are currently engaged in a war that they have never experienced before.

Claiming that the Israeli army is ready to respond to any possible attack by the Islamic Republic of Iran, Holloway claimed: "Iran refuses to fight directly with us, but we know that it has ordered all its forces to attack Israel." .

The Israeli are very afraid of Tehran's response since the day they targeted the consular section of the Islamic Republic of Iran's embassy in Damascus. The Israeli army also admitted that it is on full alert after this attack.

Update:"We will give #Israel a response they have never seen before."

-Defence Minister of #Iran [emoji1130]

00:58 am [emoji298]️BREAKING

It is now confirmed that Iran has told the United States that it can avoid a direct strike on Israel by signing a permanent ceasefire deal in Gaza.

It should also be noted that Israel has given its negotiating team a stronger mandate and has withdrawn its troops from southern Gaza.

00:59 am [emoji298]️BREAKING

The US is trying hard to prevent Iranian retaliation against Israel, Biden has started to put pressure on Israel to conclude a ceasefire deal as soon as possible, and apparently the US has also asked Oman to mediate with Iran on behalf of the US.

My best geuss is that a complete end to the Gaza war could prevent an Iranian strike on Israel.
.
.
BREAKING[emoji298][emoji298][emoji298][emoji298][emoji298]

Some local sources in Syria report that Iran has sent new equipment to western Syria.

The 88th division of the Israeli army is also on full alert and is stationed in the north of the Israel bordering Lebanon
Sidhani kama hiyo vita itatokea, Marekani na Iran wanajitahidi sana kuepusha kuenea kwa mzozo wa Mashariki ya kati. Miongoni mwa hatua ni pamoja na Marekani kuishurutisha Israel isitishe uvamizi wake wa Gaza mara moja na iondoe vikosi vyake huko Gaza na tumeona hilo likitekelezwa.

Lakini hatua nyingine ni kuitaka Iran isishambulie asset zake Marekani huko mashariki ya kati na Iran ameahidi kutoshambulia. Mpaka sasa Iran ameapa kulipa kisasi kwa Israel lakini ameihakikishia kutoshambulia assets za Marekani huko mashariki ya kati.
 
Nawasifu sana Iran Kwa uamuzi wao wa kutoshambulia Israel maana inawindwa sana ili isambalatishwe. Ndani ya Iran bado upinzani ni mkubwa sana kutoka Kwa wananchi wao wenyewe.

Baadhi ya majirani zake wanaishi nae kinafiki tu wakitamani aangamizwe Ili wao wawe na influence hapo middle east. Hapo walipo wanahitaji zaidi kushughulikia masuala yao ya kiuchumi na mahusiano na majirani zao zaidi
 
Iran has made steady progress in West Asia compared to the US/Israeli alliance over the last 30 years. Experts in geopolitics recognize Iran's capability to emerge as a dominant power in the region without resorting to a regional conflict in the foreseeable future.

Therefore, it would not be in Tehran's best interest to risk this strategic opportunity by entering into direct conflict with Israel and potentially involving the US to defend its ally.
Kwahiyo yale makombora uliyosema yatavurumishwa ndani ya 48hrs imekuaje tena?!
 
Back
Top Bottom