LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Sidhani kama hiyo vita itatokea, Marekani na Iran wanajitahidi sana kuepusha kuenea kwa mzozo wa Mashariki ya kati. Miongoni mwa hatua ni pamoja na Marekani kuishurutisha Israel isitishe uvamizi wake wa Gaza mara moja na iondoe vikosi vyake huko Gaza na tumeona hilo likitekelezwa.

Lakini hatua nyingine ni kuitaka Iran isishambulie asset zake Marekani huko mashariki ya kati na Iran ameahidi kutoshambulia. Mpaka sasa Iran ameapa kulipa kisasi kwa Israel lakini ameihakikishia kutoshambulia assets za Marekani huko mashariki ya kati.
⚡#BREAKING Israel's Netanyahu says a date has been set for a Rafah invasion in Gaza — Reuters
 
Its due to the fact that behind Israel's proud and strength there is US[emoji631] support and backup
Same to Iran behind their bark their is a support of terrorist all around Israel boundaries and other dictatorship countries.
 
Propaganda kazini tatizo huwa mnaangalia mainstream media ambazo husema

China raia wengi hawaipendi Serikali
Russia raia wengi hawaipendi serikali
Cuba wananchi wengi hawaipendi serikali
Korea ya kaskazini wananchi wengi hawaipendi serikali

Hizo hizo mainstream media watakuambia[emoji1313]
Israel wote wanaipenda serikali....(Lakini maandamano yanapamba moto huko daily hamuyaoni)
Biden na US govt inapendwa na raia
Ulaya yote the same

Ajabu kweli!!
Suala la Iran mbona liko wazi kabisa.
 
Iran yupo vitani na Israel tokea October 7 sema anajishaua asile kipondo ila watu IDF washajua nae aonjeshwe utamu wa Vita, Hams ni Yeye,Hezbollah ni yeye Houth ni yeye sasa kisasi gani anataka kufanya ajaribu tu kuingiza kichwa chake mazima aone na anajua kitakacho mpata
 
Hayo maneno ya 48hrs kwani alisema iran??

Nilitee evidence mahali iran alisema atarespond in 48hrs

Hayo maneno yalitoka kwa Israel na US Iran hajawahi tamka hivyo......
Yalitoka kwa machawa wake huku mitandaoni mkisema Iran huwa hazidi 24hrs lazima alipize.Yamepita hayo masaa mnaanza kukanusha watu wa hovyo sana nyie.
 
Iran ananjia nyingi sana za kumpiga Israel indirectly. Kupita magaidi, Hamas, Electronic Warfare Hauth, Hamas, etc

Anaweza kupenyeza hypersonic missle hadi Yemen kwa wasiojulikana, akalilaunch kutokea huko na kuleta maafa Israel.

Hii ndio maana taifa na jeshi lote la IDF wamepanic
Wamepaniki kivipi wakati shambulio lao lilikuwa purposely?
 
Hivi ilitokeaje US akaipenda Israel kiasi hiki?Is it because of merits or Israel earned that cooperation?
Israel was created by Un alias USA to monitor her interests in middle east. In other words ule ni Mkoa wa USA. Ndo maana akipigwa beat na USA anafata. So kiburi chote ni cha Kaka mkubwa not otherwise.
 
nadhani alichokifanya Iran kule Iraq baada ya kamanda wake kuuawa na marekani mnakumbuka! Iran hua hana kubwabwaja maneno... wait and see.
Tusubiri mpaka lini sasa maaalim maana kamanda mkuu ayatolah kama ame ufyata hv
 
Iran ananjia nyingi sana za kumpiga Israel indirectly. Kupita magaidi, Hamas, Electronic Warfare Hauth, Hamas, etc

Anaweza kupenyeza hypersonic missle hadi Yemen kwa wasiojulikana, akalilaunch kutokea huko na kuleta maafa Israel.

Hii ndio maana taifa na jeshi lote la IDF wamepanic
nakubali uchambuzi yakinifu kabisa toka kwako jasusi bobevu la buza kwa lurenge
 
BREAKING: Iran’s foreign minister stated:

The response to “Israel” has been determined and will be seen in the field.
 
BREAKING:

Iranian foreign minister says the coming days will be difficult days for Israel, and I say it loudly from Damascus.
Hawana mpya Hao kelele nyingi vitendo hakuna

TUJIKUMBUSHE👇

NewsWorldMiddle East

Iran warns Israel it will intervene if Gaza operation continues, report claims​

Iran’s foreign minister Hossein Amirabdollahian warns Israel could suffer ‘huge earthquake’ if fighting continues​

Graeme Massie
Los Angeles
Saturday 14 October 2023 23:57 BST
 
BREAKING: Iran’s foreign minister stated:

The response to “Israel” has been determined and will be seen in the field.
The Israel Defense Force has announced the beginning of a Major Exercise today in the Western Galilee Region and on the Northwestern Coast of Israel to prepare for Fighting on multiple Fronts including Southern Lebanon; the Exercise will consist of Personnel and Equipment from the IDF Northern Command, Homefront Command, Navy, Air Force, Police, Fire and Rescue Services as well as the Magen David Adom, with Active Traffic by Naval Vessels, Aircraft, and Heavy Tracked-Vehicles to be expected by Residents.
 
ELIMINATED: Ali Ahmed Hassin, the commander of the Hezbollah terrorist organization’s Radwan Forces in the Hajir region.
He was eliminated in a strike carried out by IAF fighter jets in southern Lebanon
 
Cleared for publication via @newsisrael13:
Israel’s security cabinet discussed preemptive strike on Hezbollah in secret meeting on October 11; Air Force jets were on standby to launch immediate assault
 
American officials told Israel: Don’t strike first, US will attack Hezbollah if it starts a war; IDF chiefs attended dramatic cabinet session, waiting for order
 
Back
Top Bottom