Masikini hadi unanena kwa lugha sasaUmesahau yule bwana Mungu mtu wako ambaye alishakua mifupa mikavu kule chattu[emoji28][emoji23]vp ushazikwa nae?
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo labda Egypt na Jordan,saudia urojo sanaNingefurahi sana vikundi vinavyoiunga mkono Palestina, kwanza kabisa vingefanya mapinduzi Jordan, Saudi Arabia, Egypt na UAE.
Mzizi wa fitna ungebaki mmoja tu.
Ni suala la Muda tu, wananchi wa hizo nchi ulizotaja itafika mahali watawaondoa hao watuNingefurahi sana vikundi vinavyoiunga mkono Palestina, kwanza kabisa vingefanya mapinduzi Jordan, Saudi Arabia, Egypt na UAE.
Mzizi wa fitna ungebaki mmoja tu.
Una ushahidi,? acha roho mbaya, we sema tu vita haina macho, dini inawapofusha, subiri Iran ajichanganye ndo mtaijua Israel ni nani? Kwa mara nyingine civilization ya Iran na maendeleo yake yanaenda kuharibika, kama si wehu wa waarabu unawezaje kuvamia nuclear state? Utashinda je vita nchi yenye nyuklia? Unaona jinsi NATO wanavyomuogopa NATO si kingine bali ni silaha za nyuklia. Sasa subiri Iran ajichanganyeWalistahili kufa wale wapuuzi walikua wanafanya kazi kuwasaidia IDF
Mbona unaongea Kama wewe ni muisraelUna ushahidi,? acha roho mbaya, we sema tu vita haina macho, dini inawapofusha, subiri Iran ajichanganye ndo mtaijua Israel ni nani? Kwa mara nyingine civilization ya Iran na maendeleo yake yanaenda kuharibika, kama si wehu wa waarabu unawezaje kuvamia nuclear state? Utashinda je vita nchi yenye nyuklia? Unaona jinsi NATO wanavyomuogopa NATO si kingine bali ni silaha za nyuklia. Sasa subiri Iran ajichanganye
Watakao kuwa wakwanza kuuvunja ni waarabuVita ikianza tu middle East Msikiti wa Al aqsa utaenda na maji.
Mta wish sana bila mafanikio. Hiyo Quran yenu imewaingiza chaka ati kabla ule mwisho haujaja waislamu wataua wayahudi wote. Either, Mohammad alijitungia tu mwenyewe hiyo Quran au Allah aliyemtuma kuileta ni kajimungu ka uongo. Na lazima hii vita mtachakazwa tu ili Quran yenu ithibitike ni UONGONingefurahi sana vikundi vinavyoiunga mkono Palestina, kwanza kabisa vingefanya mapinduzi Jordan, Saudi Arabia, Egypt na UAE.
Mzizi wa fitna ungebaki mmoja tu.
π π πNingefurahi sana vikundi vinavyoiunga mkono Palestina, kwanza kabisa vingefanya mapinduzi Jordan, Saudi Arabia, Egypt na UAE.
Mzizi wa fitna ungebaki mmoja tu.
"Ninge... "; who are you?Ningefurahi sana vikundi vinavyoiunga mkono Palestina, kwanza kabisa vingefanya mapinduzi Jordan, Saudi Arabia, Egypt na UAE.
Mzizi wa fitna ungebaki mmoja tu.
Really???Walistahili kufa wale wapuuzi walikua wanafanya kazi kuwasaidia IDF
FaizaFoxy, Miss JF 23/24."Ninge... "; who are you?
Huyu jamaa akili hana hata kidogo!Duh!
I have the same feelings too, kwa precision hii, nafikiri Mosaad wana mzoom tu ila hawajampatia strong and legitimate reason kumpaisha mawinguni akakutane na mabikira 72mambo ya visasi haya ndio yalisababisha rais wa iran akafa akaapishwa mwingine sherehe iliopelekea boss wa hamas kudanja na saiv nadhan ni supreme leader anaelekea kuzimu
Huko kazi ni moja tu,kunyoosha mshipi!Tayari anafaidi mabikira 72 huko π€£