Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Pray for Israel taifa teuleNaungana na ndugu zangu hao kuiombea Israel.
Huna akili kwahiyo Iran ndio palestinaSio kwamba chanzo cha mgogoro ni kugombania ardhi ambayo israeli ilinyang'anya wapalestina hapo zamani?
Ninavyoelewa uingereza na UN waliwapa wayahudi ardhi yao, na wapalestina ardhi yao, israeli ikaanza kuwanyang'anya, ugomvi ukaanza.
Iran si inatetea waarabu wenzao au nakosea wadau mnirekebisheπHuna akili kwahiyo Iran ndio palestina
Tunalioombea TAIFA letu teule ni wakristo wenzetu kama imekuuma chomoa Ili usitoke damuWe nani kakwambia Israel ni wakristo? Ndani ya Israel idadi ya wakristo ni ndogo kuliko Waislam na hawataki kuskia kuhusu ukristo pale
Na sisi tunawaombea wakristo wenzetu Israel taifa teuleIran si inatetea waarabu wenzao au nakosea wadau mnirekebisheπ
Hahaha wavaa Madera lazima wapigweNitatoa msaada wa nguruwe waende Israel wakasaidie vita zidi ya wavaa madela
Huu upumbavu siwezi kufanya. Israel ya Leo ni Ashkenazi wahuni tu sio uzao wa IbrahimWote tunajua pale middle east Israel anapambana na magaidi Ili kujilinda na yeye kama taifa teule Kila siku anawatembezea kichapo ama kweli Israel ni taifa la mungu na sisi wakristo tunawaombea wakristo wenzetu washinde hii vita ya kutokomeza ugaidi ambao unaendelea pale middle east god bless Israel
mbona israel hamna wakristo mkuuNa sisi tunawaombea wakristo wenzetu Israel taifa teule
Wote tunajua pale middle east Israel anapambana na magaidi Ili kujilinda na yeye kama taifa teule Kila siku anawatembezea kichapo ama kweli Israel ni taifa la mungu na sisi wakristo tunawaombea wakristo wenzetu washinde hii vita ya kutokomeza ugaidi ambao unaendelea pale middle east god bless Israel
Hawa watu ni mental case mkuu. Yaani Israel huwa hataki hata kusikia neno mkiristo lakini makiristo yalivyo punguan wahed hayataki kuelewa yanadhani Wayahudi ni wakiristo. πππmbona israel hamna wakristo mkuu
Sio lazima lakini ni kigezo.
Mungu wa Israel ndiye Mungu. Libarikiwe jina la Mungu wa Yakobo; Mungu aliye hai; Mungu asiyeshindwa! Utukufu una yeye Bwana Mungu wetu.Wote tunajua pale middle east Israel anapambana na magaidi Ili kujilinda na yeye kama taifa teule Kila siku anawatembezea kichapo ama kweli Israel ni taifa la mungu na sisi wakristo tunawaombea wakristo wenzetu washinde hii vita ya kutokomeza ugaidi ambao unaendelea pale middle east god bless Israel