Live coverage on JamiiForums
Tv ya magaidi, genocide ya kujitakia mmechinja raia october 7, kisa dini yao tofauti na ya kwenu, halafu mnakimbilia kujificha kwa raia mnategemea Israel isijibu!! Upuuzi wa ajabu sana, damu za raia wa Palestina zitakuwa juu ya Magaidi wa Hamas wanaotumia wanawake na watoto kama NGAO HUMAN SHIELDS, Israel iendelee na SELF DEFENCE hadi HAMAS wasalimu amri na kutambua Wayahudi wana haki ya kuwa na taifa lao waliloporwa miaka 2000 iliyopita na kuabudu Mungu wanaomtambua wao YEHOVAH/ YAHWEH na siyo wa kulazimishwa Allah.
 
Hamna kumbukumbu mbaya kwa myahudi kama kupoteza wayahudi zaidi ya 1000,hii itawagharimu sana waarabu...
 
Vipi kuhusu vijana wenzetu Watanzania wawili waliouwawa kikatili Oct 7, wameweka majina yao?
Kama hawajaweka basi wao ndio wana udini
Waumini wa dini ya kiarabu wao wanaamini wana haki ya kuchinja mtu yeyote na kumfanya mtumwa kumteka kumbaka ila wao wasiguswe, balozi wa Palestina hata kutoa pole kwa watanzania Mollel na Mtenga waliouwawa kinyama mchana kweupe!!anataka tuwatetee wao kwa uchokozi wa kinyama wanaowafanyia wajukuu wa Isaka.
 
Hamna kumbukumbu mbaya kwa myahudi kama kupoteza wayahudi zaidi ya 1000,hii itawagharimu sana waarabu...
I think the same wise kwani sasa pia kuna mashambulizi ya kujitoa mhanga yameanza kuonekana miji mikuu ya Israel hivyo kisecurity hata wao wameingia katika mtihani mkubwa kabisa
 
Pole sana mkuu list imekuumiza sana!
 
It should be known to everyone that Israel is a blessed country having people with the highest IQ.
Other nations were cursed includes EA Countries, idiot
 
Shoga hilo, 100%
Mkuu; ni Linani hiloo? Hivi Ushoga wake unakuathiri wewe kivipi hadi unatupigia kelele, unalia-lia humu? Unadhani sisi hatujui kwamba kuna ushoga hapa duniani na sio kwa Myahudi pekee bali hadi hapa Tz upo na umejaa tele? Katafute hela bhana achana na mambo ya kuwasagia kunguni hao mashoga. Acha waendelee na ushenzi wao.
 
Hiyo picha ya bendera ya Israel ni ya kipandikiza. Zoom na angalia hiyo mikono iliyoshika hiyo bendera utagundua kitu.
Uache usenge wewe.
Kila mwaka ISRAEL INAFANYA GAY PRIDE PARADE.
KASORO MWAKA HUU TU HAWAJAFANYA KWASABABU ZA KIVITA.
Mna mmebakwa hadi akili nyie jamaa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…