stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Mkuu hizi video na picha za IDF huko Lebanon zinahitajika kwa wingi sana humu
View: https://x.com/Osint613/status/1843676553378705917
View: https://x.com/Osint613/status/1843683821058961462FaizaFoxy utanipa address yako tujadili namna ya kudeal na mashia wa Tanzania kabla hawajaanza kuaribu nchi yetu kama walivyofanya Yemen na Syria
Walisema IDF Haiwezi kuingia Lebanon Cha ajabu Hezbollah wao Ndio wanakimbilia SyriaMkuu hizi video na picha za IDF huko Lebanon zinahitajika kwa wingi sana humu
IDF wana advanceHilo nalijua vizuri Kama wao ndio waliomkataa na kumsurubisha yesu kristo,na hii haindoi uharisia kuwa Jesus Christ is the Messiah
huyo masihi wanayemsubiria,Ni ujio wa pili wa yesu kristo,ndo wataamini kuwa Jesus Christ is the Messiah.
Hatari sana.Walisema IDF Haiwezi kuingia Lebanon Cha ajabu Hezbollah wao Ndio wanakimbilia Syria
Hivi umeelewa nilicha andika kweliLugha Yao Toka mwanzo ni kwamba hawataacha kurusha rockets mpaka IDF watakapositisha operation Gaza naona lugha inaanza kubadilika na mm nasema hakuna Cha ceasefire IDF pelekea moto hao wapumbavu
Ndio ameshaachwa sasa maana wanamuogopa...Kwa mazingira yaliyopo ni suala la muda tu, Iran akiachwa maana yake Israel utaishi kwa shida sana, kila siku itakuwa inapigana na makundi ya kigaidi.
He is next to be killedNdo maana nikakwambia sijaona alipo tema bungo maelezo yamekamilika.
(In any case, after the issue of a ceasefire takes shape, and once diplomacy can achieve it, all of the other details can be discussed and decisions can be taken,” Qassem said. “If the enemy [Israel] continues its war, then the battlefield will decide.”)
Kufa ni kufa mura. na hakuna atakae baki pasi na kufa hivyo si stuki na hata yeye pia hawazi na uzuri wanapenda kufa Kama mnavyo penda kuishiHe is next to be killed
Nimesema baadhi kwa kuwa hata hao wanaofanya bado ni waislamu.Sio baadhi bali UISLAM mzima haukubaliani na wanachofanya ISIS.
Umejuaje wanamkubali ? Wameandamana baada ya kauli yake au ,
Sahihi.Nimesema baadhi kwa kuwa hata hao wanaofanya bado ni waislamu.
Au akiwa ISIS anakuwa sio waislamu?
Propaganda hazisaidii kitu aisee.
View: https://x.com/MOSSADil/status/1843902599503986860
Netanyahau kashawaambia mapumziko siku nyingine
Niliwahi kukwambia ulete ushahidi wa Hamas kujificha nyuma ya raia ukashindwa.Hamas washukuru nchi zinazopakana na Gaza kuwakataa wapelestina maana huo mrundikano wa raia unawapa faida sana wakiambiwa waende north wanaenda nao raia wakiambiwa warudi south Hamas wanajichanganya nao tofauti na Lebanon kule raia wanauwezo wa kwenda Syria ama northern Lebanon hivyo kuwa expose Hizbullah kutoka kwenye kichapo Cha IDF.
Hamas hawana kambi na IDF ni jeshi lenye nidhamu na weledi wa hali ya juu sana wao sio wajinga mpaka waue wapelestina 42000 mpaka muda huu wanajitahidi sana kuepusha maafa ya raia ila ndio hivyo hao wapumbavu wa Hamas wanajificha ktkat Yao hivyo IDF wanaona hakuna namna .Niliwahi kukwambia ulete ushahidi wa Hamas kujificha nyuma ya raia ukashindwa.
Futa hiyo kauli yako,kama Hamas ingekua inajificha nyuma ya raia isingetia wanajeshi 70k wa Israel ulemavu.
Hamas wapo ndani ya mahandaki.Hamas hawana kambi na IDF ni jeshi lenye nidhamu na weledi wa hali ya juu sana wao sio wajinga mpaka waue wapelestina 42000 mpaka muda huu wanajitahidi sana kuepusha maafa ya raia ila ndio hivyo hao wapumbavu wa Hamas wanajificha ktkat Yao hivyo IDF wanaona hakuna namna .