Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana lolote lakini hao mashoga wanataka kurusha mawe Iran wajionyeshe wanauweza kupiga Iran 😄Israel imeshapata njia mbadala ya kujilinda na makombola kutoka Iran??
Hadi taarifa imefika huku,,,,,,jamaa wanapendaga kushtukiza ...ila acha tuoneWazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.
Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.
Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Sa we sisubiri mpaa kesho utamini nacho ongea ni kweli. Mimi nacho jiuliza hawa Israel wataweza kweli kupigana na Iran.Unaripoti kutoka buza?
Mwisilam mwenzio huyo ndo ujue ni kwa namna gan waislam huwaga mumetawaliwa na mihemuko ya kidiniSafi sana hi ya mgalatia 😄 Mimi toka lini ni kawa mgalatia, soma nilicho andika usirukie kujibu kabla hujaelewa. Hio habari ni 💯
Haukusoma akaelewa alidhani na mimi wa kanisani 😄Mwisilam mwenzio huyo ndo ujue ni kwa namna gan waislam huwaga mumetawaliwa na mihemuko ya kidini
Kila jambo mnalihusisha na dini
Hio point yako ni 💯Kitakacho iangusha Israeli na Netanyahu ni proud
Endeleeeni kupiga kelele hivyo hivyo Kama ambavyo huwa mnatupigia kelele asubuhiNyau hafikiri vile yeye anadhani akipiga Iran, wa Iran watamuogopa 😄
Nyoooonzooooo nyonzooo maamaee nyonzooo bin mvule nyoooonzooooo Nyonzo bin mvuleWazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.
Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.
Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Ndo maana nimekwambia mna mihemuko isiyo ya kawaidaHaukusoma akaelewa alidhani na mimi wa kanisani 😄
Yeye mwenyewe anafahamu kuwa kama yeye ni kichaa, basi Ayatullah ni mwendawazimu kabisa. Kauli yake huwa hairudi nyuma 😂😂😂Nyau hafikiri vile yeye anadhani akipiga Iran, wa Iran watamuogopa 😄
Wameamuwa leo.Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.
Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.
Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Katoka kusikiliza mawaidhaUnaripoti kutoka buza?
Unaota ukiwa wapi mkuuWazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.
Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.
Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Usitupigie makelele aiseeMimi sehemu nilipo lazima nipate habari kabla yenu, sa si msubiri kelele za nini
Ndiomaana Uzi wake umetupiliwa mbaliKatoka kusikiliza mawaidha
Story ya kwanza ilikuwa hawezi kuingiza Jeshi Gaza, kule ni hatari tupu, kaingiza na Hamasi wamepoteana vibaya. Tukaambiwa Hezbollah ni jeshi matata sana, Israel asilogwe aanze nao vita. Israel kaingia, ndani ya kupigo cha wiki, Hezbollah wameomba vita iishe na wako tayari kutimiza azimio la Umoja wa Mataifa lililowataka kuondoka mpakani na Israel. Kituo kinachofuata ni kwa wale wavaa madela na mawigi.Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.
Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.
Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.