LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.

Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.

Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Hadi taarifa imefika huku,,,,,,jamaa wanapendaga kushtukiza ...ila acha tuone
 
Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.

Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.

Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Nyoooonzooooo nyonzooo maamaee nyonzooo bin mvule nyoooonzooooo Nyonzo bin mvule
20241011_105113.jpg



Nyau de adriz
 
Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.

Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.

Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Wameamuwa leo.
Hi miaka yote hatuoni Iran anavyoshambuliwa?

Wasiyoyaona hayo ni kondoo tu.
 
Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.

Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.

Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Unaota ukiwa wapi mkuu
 
Wazee wenzangu leo nasikia Israel kamua liwe na liwe nasikia atapiga Iran leo, haya yetu macho.

Si ajabu mpaa asubuhi kesho tutapata jibu.

Mimi upande wangu naona nyau anataka kuimaliza Israel, sababu kipigo atakacho pokea tokea Iran kitakuwa ndio mwisho wa Israel.
Story ya kwanza ilikuwa hawezi kuingiza Jeshi Gaza, kule ni hatari tupu, kaingiza na Hamasi wamepoteana vibaya. Tukaambiwa Hezbollah ni jeshi matata sana, Israel asilogwe aanze nao vita. Israel kaingia, ndani ya kupigo cha wiki, Hezbollah wameomba vita iishe na wako tayari kutimiza azimio la Umoja wa Mataifa lililowataka kuondoka mpakani na Israel. Kituo kinachofuata ni kwa wale wavaa madela na mawigi.
 
Back
Top Bottom