LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Sasa wewe unabishana mpaka na IDF wenyewe wanakwambia " some of which were intercepted " means some hitting the target or fell in an open areas. Hawakuoneshi hizo 🤣
Pia lengo la kutuma rundo la madrone huwa ni kuishosha hizo Irone dones batteries ili baadae vitumwe vitu vizito bila kupanguliwa. Ndio maana enzi zile za vita na hamas wakati inaanza makombora mengi yalirushwa ikabidi US itume msaada wa kuziboost hizo iron domes.
 
Pia lengo la kutuma rundo la madrone huwa ni kuishosha hizo Irone dones batteries ili baadae vitumwe vitu vizito bila kupanguliwa. Ndio maana enzi zile za vita na hamas wakati inaanza makombora mengi yalirushwa ikabidi US itume msaada wa kuziboost hizo iron domes.
Hizo irone dome kwa sasa zenyewe zina malfunction kwakifupi watafute airdefence nyengine hizo zikikutana na vitu vizito zinageuzia njiani.
 
Israel ingekuwa dhaifu UAE na Qatar zingekuwa zilisha ichafua na vikundi vya kigaidi
 
  • Thanks
Reactions: bCg
Israel baada ya kuvamiwa 7 oct. pamoja na uwezo wake katika Vita na vifaa vyenye technologia ya juu katika ulinzi haijiamini tena!
Yes vita sio rahisi ..na hapo ni gaza sehem anapopamulika kama glass na drone za kila aina ...lakin I'm fanya uchumi uparangayike ghafla
 
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa

Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo

Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4

Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu

Hezbollah wapo zaidi laki moja na nusu

Hapo sijazungumzia Hamas, PIJ au Iran yenyewe

Vitakua ni vita vigumu sana.

Israel naye kajiandaa mfano kaanza kuhamisha ndege na baadhi ya silaha nyeti na kwenda kuziweka mafichoni na mahandaki ya dharura yamefunguliwa huko Telaviv

Iran has begun to strengthen its air defences, with massive movements of SAM systems being detected across the country.

The Yemenis have informed Iran that if there is a regional war, more than 400,000 fighters are ready to completely blockade the Red Sea and target US bases in Africa and the Middle East

The Yemenis have recruited 200,000 new fighters since the start of the conflict

The Axis of Resistance is preparing for a possible regional war. The US is the most vulnerable at the moment, with military bases spread across the region.

The Persian Gulf states are considering suspending the operation of US bases on their soil for several days when Iran begins its retaliatory strikes on Israel.

Abu Fadak, leader of more than 250 000 Iraqi fighters, says he is waiting for Imam Khamenei's decision regarding Israel.

Hezbollah leader says everyone should be prepared for all scenarios after Iran's retaliatory strikes pointing to a full-scale war.

Leader of Hezbollah says the attack on Iranian consulate by Israel marks a turning point, there’s what precedes it and has what comes after it.

Stupidity of Israel to target Iran's consulate in Syria could lead to its end

Iran has made it clear that its response will make Israel regret the strike on the consulate.

Israelis have begun stockpiling toilet paper and water for fear of Iranian missile strikes, reports Kann.

The axis of resistance has informed Iran that it stands ready to set Israel and the entire region ablaze if Israel decides to attack Iranian territory

BREAKING

Israeli hospitals have been told to prepare for a mass casualty event amid threats of Iranian missile strikes

[emoji298]️BREAKING

Israel has begun evacuating its embassies in Bahrain, Egypt, Jordan, Morocco and Turkey amid threats by Iran.

[emoji298]️BREAKING

Israel moves dismantled F-16s to unknown locations for fear of missile strikes by Iran on its airbases.

[emoji298]️BREAKING

While Israelis panic, the Israeli authorities say there is no need to buy generators or stockpile food for fear of missile strikes from Iran

[emoji298]️BREAKING

State Department spokesman Matthew Miller says the US has sent a message to Iran urging it not to target American bases and forces following the Israeli attacks on the Iranian consulate.

The entire region is panicking.


View attachment 2956524

BREAKING 20:39 PM

Israel's Defense Minister says: Tel Aviv has completed its preparations to respond to any scenario that is created against Iran.View attachment 2956849

BREAKING 20:45 pm

Herzi Holloway", the Chief of the Joint Chiefs of Staff of the Israeli Army, admitted this Sunday evening that they are currently engaged in a war that they have never experienced before.

Claiming that the Israeli army is ready to respond to any possible attack by the Islamic Republic of Iran, Holloway claimed: "Iran refuses to fight directly with us, but we know that it has ordered all its forces to attack Israel." .

The Israeli are very afraid of Tehran's response since the day they targeted the consular section of the Islamic Republic of Iran's embassy in Damascus. The Israeli army also admitted that it is on full alert after this attack.

Update:"We will give #Israel a response they have never seen before."

-Defence Minister of #Iran [emoji1130]

00:58 am [emoji298]️BREAKING

It is now confirmed that Iran has told the United States that it can avoid a direct strike on Israel by signing a permanent ceasefire deal in Gaza.

It should also be noted that Israel has given its negotiating team a stronger mandate and has withdrawn its troops from southern Gaza.

00:59 am [emoji298]️BREAKING

The US is trying hard to prevent Iranian retaliation against Israel, Biden has started to put pressure on Israel to conclude a ceasefire deal as soon as possible, and apparently the US has also asked Oman to mediate with Iran on behalf of the US.

My best geuss is that a complete end to the Gaza war could prevent an Iranian strike on Israel.
.
.
BREAKING[emoji298][emoji298][emoji298][emoji298][emoji298]

Some local sources in Syria report that Iran has sent new equipment to western Syria.

The 88th division of the Israeli army is also on full alert and is stationed in the north of the Israel bordering Lebanon
Katika sehemu zote mie namuogopa YEMENI HOUTHI KULIKO IRAN.
HOUTHI wameonekana kushindikanika mzee,kama mpaka sasa wameifunga bahari nyekundu/red sea aisee hawashindwi kuzuia USA kupita kuja kutoa msaada.
Mbaya zaidi Yemeni ni taifa lisilokua na la kupoteza hawahofii kitu bora hata Iran anavyo vya kupoteza hivyo hofu anayo ndio maana anajivuta kulipiza kisasi.
Ila Yemeni hapana aisee hao jamaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Iran bin Kareem Mandonga.

alipouwawa Qasem Soleimani kamanda wa juu wa Iran,kisha Iran wakatoa mikwala mingi kisha wakasanda,tokea hapo nimeacha kabisa kuamini mikwara ya Iran.
Hamas
tu ndio sio waongo wakisema wamesema.
Labda hufuatilii habari.
KIfo cha Soleiman kilishafanyiwa retaliation kwa kupigwa kambi moja ya USA pale Iraq,au hutizami habari mkuu!?
Pia Iran position aliyokua nayo anastahili kusita kwa sababu kuu mbili.
1)Ana maadui wakubwa US,UK na EU karibuni yote,hivyo Israel akiguswa hatopigana na Israel bali na NATO.
2)Iran teyari anachechemea kwa vikwazo vya kiuchumi direct confrontation itamfanya awe kiwete kabisa kiuchumi.
 
Israel ingekuwa dhaifu UAE na Qatar zingekuwa zilisha ichafua na vikundi vya kigaidi
Kwahiyo kuitibua nchi mpaka itibuliwe na makundi ya kigaidi!?
Mbona Iran anaichachafya Israel kupitia Hizbollah na Israel imepewa hasara nyingi na Hizbollah mwaka huu!?
Israel dhaifu ila USA na UK na wamagharibi waliobaki wanailea hii nchi,laa sivyo ingekua kwishnei.
We uvamizi wa Hamas tu USA na UK wamepeleka jeshi la maji na manowari za kutosha kuisapoti Israel kisa wanamgambo Hamas tu.
 
Evidence?! 😂😂😂😂

Hatupigi ramli, evidence za video maroketi yakitunguliwa zimesambaa huko Twitter, tuletee na ww tuone Irone dome zilivyosambaratishwa


View: https://twitter.com/Megatron_ron/status/1778833264318308512?t=LByyaM3uDgCDR5Ddil5XaA&s=19

Mtu anaie shabikia hii vita kwa kutumia hisia na mahaba Ndio zao kuropoka bila evidence yoyote ni watu wa ku wa ignore wajifurahishe mioyo yao ukimwambia weka ushahidi wako mezani atabaki na vijistori vya kwenye kahawa
 
Evidence?! 😂😂😂😂

Hatupigi ramli, evidence za video maroketi yakitunguliwa zimesambaa huko Twitter, tuletee na ww tuone Irone dome zilivyosambaratishwa


View: https://twitter.com/Megatron_ron/status/1778833264318308512?t=LByyaM3uDgCDR5Ddil5XaA&s=19

Aisee mbona hiyo habari umeileta kiushabiki na wewe?
Hizo zilizopigwa ni rockets mzee.
Tena ni light rockets,ila karejelee habari ya miezi miwili ilopita ya Hizbollah kutumia Guided missiles ambazo Iron dome zilishindwa kuzidungua zikaharibu kambi mbili za North Israel ikiwemo Galilee.
Yani iron dome ina uwezo wa kudungua rockets tu ila hazina uwezo wa kudungua guided missiles.
Nakusisitiza hizo ni rocket jiulize Hizbollah ikiamua kutumia tena guided missiles itakuaje?
 
Aisee mbona hiyo habari umeileta kiushabiki na wewe?
Hizo zilizopigwa ni rockets mzee.
Tena ni light rockets,ila karejelee habari ya miezi miwili ilopita ya Hizbollah kutumia Guided missiles ambazo Iron dome zilishindwa kuzidungua zikaharibu kambi mbili za North Israel ikiwemo Galilee.
Yani iron dome ina uwezo wa kudungua rockets tu ila hazina uwezo wa kudungua guided missiles.
Nakusisitiza hizo ni rocket jiulize Hizbollah ikiamua kutumia tena guided missiles itakuaje?
Naunga mkono. Ukiangalia hizo rocket jinsi zinavyoruka nashindwa kuelewa mwendo wake. Kama konokono. Hata zikipigwa unaona tu mwanga basi.
 
Ila kwa taarifa za leo. Kuna % nyingi kinaenda kuwaka. Hizbollah wameishambulia israel kwa rocket zaidi ya 50 leo.
Respond yake ndio inaenda kuamsha popo
 
Ila kwa taarifa za leo. Kuna % nyingi kinaenda kuwaka. Hizbollah wameishambulia israel kwa rocket zaidi ya 50 leo.
Respond yake ndio inaenda kuamsha popo
roket kawaida hizo zipogo tu, US anaisogeza manowar yake taratiib Haytollah ajichanganye tu anavuliw dera
 
Back
Top Bottom