LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Biden amekwambia "Don't"

Kwa anayejuwa kingereza jibu analo tayari.

Israel imejiandaa kujilinda na kushambulia na Biden amekwambia Iran Don't.

Wito wangu Kwa waislamu duniani kabla Iran haijageuzwa kuwa majivu muda wenu ni huu kumwambia Ayatollah asijaribu kuchambia sime, hatutaki kusikia kelele baadaye za Free Iran.
Kama ingekua rahisi Trump ange retaliate kwa Iran kupiga kambi yake pale Iraq.
Unadhani vita ikitokea mataifa ya kiarabu na kiajemi hasimu wa Israel na USA yatakaa chonjo!?
Jana Blinken kapiga simu Saudi arabia na China kuzungumza nao wajaribu kumsihi Iran asije fanya shambulizi maana vita itasambaa.
Kama ulikua hujui ambaye yupo katika shape mbaya ni Israel,na vita ikilipuka kila taifa hasimu wa Israel atatumia hiyo fursa mzee.
 
Kama ingekua rahisi Trump ange retaliate kwa Iran kupiga kambi yake pale Iraq.
Unadhani vita ikitokea mataifa ya kiarabu na kiajemi hasimu wa Israel na USA yatakaa chonjo!?
Jana Blinken kapiga simu Saudi arabia na China kuzungumza nao wajaribu kumsihi Iran asije fanya shambulizi maana vita itasambaa.
Kama ulikua hujui ambaye yupo katika shape mbaya ni Israel,na vita ikilipuka kila taifa hasimu wa Israel atatumia hiyo fursa mzee.
Wewe upo ndotoni, kuna Waarabu wenye hamu tena na vita na Israel? Ukiacha hao Iran wenye kaswende ya ubongo?
 
Basi Bora uwe unakuja kupata shule mida kama hii ya asbhi mkuu maana ikifika mchana, jion na usiku akili zako zinakuwa zinawaza pepo tu unaishia kutupa shida walimu wako humu ktk kutoa ilimu.
😳😳😳Acha bas.
 
Wewe upo ndotoni, kuna Waarabu wenye hamu tena na vita na Israel? Ukiacha hao Iran wenye kaswende ya ubongo?
Hufuatilii habari mzee.
Swali la kwanza nimekuuliza,kwanini Blinken anatumia influence ya China na Saudi Arabia kuizuia Iran isifanye retaliation??
👆👆👆Jibu hilo kwanza.
Pili nadhani ungewasikiliza waarabu wenyewe kwenye Arab summit ilofanyika Cairo walishasema uwepo wa Israel unaonekana kuwa ni tishio kwa amani ya waarabu middle east na inaelekea katika kikomo cha kutokuvumilika.
Unadhani waarabu hawajachoka manyanyaso ya Israel kwa kufadhiliwa na US na EU!?
Tena majirani zake wote Syria,Lebanon,Jordan hawampendi.
Kuna Pakistan pia leo kesho anatamani sana kilipuke akiunge,kuna Yemeni Houthi.
MAtaifa yenye kambi za jeshi la USA middle east zimekataa nchi zao kutumika pindi vita itapoanza dhidi ya Iran na Israel,je US ataegemea wapi kimashambulizi!?
Israel amechokwa waarabu wanatafuta chambo tu ya kuendana nae.
Na hiyo chambo ni Iran.
 
Hufuatilii habari mzee.
Swali la kwanza nimekuuliza,kwanini Blinken anatumia influence ya China na Saudi Arabia kuizuia Iran isifanye retaliation??
👆👆👆Jibu hilo kwanza.
Pili nadhani ungewasikiliza waarabu wenyewe kwenye Arab summit ilofanyika Cairo walishasema uwepo wa Israel unaonekana kuwa ni tishio kwa amani ya waarabu middle east na inaelekea katika kikomo cha kutokuvumilika.
Unadhani waarabu hawajachoka manyanyaso ya Israel kwa kufadhiliwa na US na EU!?
Tena majirani zake wote Syria,Lebanon,Jordan hawampendi.
Kuna Pakistan pia leo kesho anatamani sana kilipuke akiunge,kuna Yemeni Houthi.
MAtaifa yenye kambi za jeshi la USA middle east zimekataa nchi zao kutumika pindi vita itapoanza dhidi ya Iran na Israel,je US ataegemea wapi kimashambulizi!?
Israel amechokwa waarabu wanatafuta chambo tu ya kuendana nae.
Na hiyo chambo ni Iran.
Wewe Inabidi nikuignore Tu maana hakuna ulijuwalo zaidi ya propaganda za Waarabu.

Ukiacha Iran hakuna nchi ya Kiarabu inayotaka ugomvi na Israel.

Mliwadanganya hivihivi Hamas, sasa hivi wanakula kibano peke yao Gaza hata Iran haijatia puwa yake Gaza.
 
Sijachanganya madesa ila wewe hujanielewa nini nachozungumzia.
Nilichokusudia ni kwamba Iron dome na uwezo wa ku intercept rockets tu ila sio missiles.
Na kiufupi Israel hana missile interceptors hana mfumo wa anga wa kudungua makombora.
Hata vita na Hamas walisaidiwa mifumo ya anga na USA kudhibiti makombora ya Houthi kupiga Eilat.
Hii comment Ina mchanganyiko wa habari za vijiweni
 
Usifanye hivyo’ - Biden aionya Iran dhidi ya kuishambulia Israel
h
Getty ImagesCopyright: Getty Images
Joe Biden aliionya Iran kutoishambulia IsraelImage caption: Joe Biden aliionya Iran kutoishambulia Israel
Rais wa Marekani Joe Biden anasema anatarajia Iran kushambulia Israel "mapema kuliko baadaye", huku hofu ikiongezeka ya Iran kulipiza kisasi kutokana na shambulio la anga lililowaua makamanda wakuu mapema mwezi huu.

Israel haijakiri kushambulia ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria lakini inaaminika kuwa ilihusika na shambulio hilo.

Maafisa wa Marekani wameiambia CBS News, ambayo ni mshirika wa BBC wa Marekani, kwamba shambulio kubwa dhidi ya Israel linaweza kutokea mara moja.

Israel inasema iko tayari kujilinda. Bwana Biden aliiambia Iran: "Usifanye hivyo.""Tumejitolea kwa ulinzi wa Israeli. Tutaiunga mkono Israel," Bw Biden alisema. "Tutasaidia kuilinda Israel na Iran haitafanikiwa."
 
Ila kwa taarifa za leo. Kuna % nyingi kinaenda kuwaka. Hizbollah wameishambulia israel kwa rocket zaidi ya 50 leo.
Respond yake ndio inaenda kuamsha popo
Israel imefanya kitu cha uwendawazimu sana kulipua balozi ya Iran. Dunia nzima anaiweka rehani sana.
 
Wewe Inabidi nikuignore Tu maana hakuna ulijuwalo zaidi ya propaganda za Waarabu.

Ukiacha Iran hakuna nchi ya Kiarabu inayotaka ugomvi na Israel.

Mliwadanganya hivihivi Hamas, sasa hivi wanakula kibano peke yao Gaza hata Iran haijatia puwa yake Gaza.
Kama huna kitu kichwani kaa pembeni.
Huwa sijadili na vilaza,wenye fikra yakinifu watasoma na kuleta mjadala.
Syria na Lebanon zote zinaendesha makundi hasimu dhidi ya Israel,Yemeni nae ana Houthi na Houthi wamekubali kupigana na Israel kama Iran itaingia vitani.
Narejelea tena kasikilize Arab summit ya mwaka huu February.
WEWE UNAONGEA TAARABU TU.
WACHA NIKU BLOCK.
 
Hufuatilii habari mzee.
Swali la kwanza nimekuuliza,kwanini Blinken anatumia influence ya China na Saudi Arabia kuizuia Iran isifanye retaliation??
👆👆👆Jibu hilo kwanza.
Pili nadhani ungewasikiliza waarabu wenyewe kwenye Arab summit ilofanyika Cairo walishasema uwepo wa Israel unaonekana kuwa ni tishio kwa amani ya waarabu middle east na inaelekea katika kikomo cha kutokuvumilika.
Unadhani waarabu hawajachoka manyanyaso ya Israel kwa kufadhiliwa na US na EU!?
Tena majirani zake wote Syria,Lebanon,Jordan hawampendi.
Kuna Pakistan pia leo kesho anatamani sana kilipuke akiunge,kuna Yemeni Houthi.
MAtaifa yenye kambi za jeshi la USA middle east zimekataa nchi zao kutumika pindi vita itapoanza dhidi ya Iran na Israel,je US ataegemea wapi kimashambulizi!?
Israel amechokwa waarabu wanatafuta chambo tu ya kuendana nae.
Na hiyo chambo ni Iran.
Kwamba wanatafuta sababu yakuivamia Israel wakati ndugu zao wapalestina wanaangamia kwamba haitoshi kua sababu kuwasaidia ndugu zao
 
Kwamba wanatafuta sababu yakuivamia Israel wakati ndugu zao wapalestina wanaangamia kwamba haitoshi kua sababu kuwasaidia ndugu zao
Nimesema chambo mzee sio sababu.
Chambo ni nani!?
Waarabu wana taifa gani la kuwapa jeuri kijeshi!?
Hawana.
Iran ndio chambo.
 
Punguza ny3ge bas na ww kuwashwa awashwe mwenzio kukunwa utake ww jorani emb tafuta size yako usije pigwa 3sum bure
Ilibid ajib yy ww inakuhus nn nyeg si umeleta ww au nimewagus wengi njoo bas inama na ww maan unahitaj nikutoe marinda😂😂 huna akil kabis limbuken w
 
Back
Top Bottom