LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Nafikiri tumekubaliana BABA WA MIDDLE EAST no IRAN ujumbe umefika
Tunasubiri Majibu ya ISRAEL tuone moto utawakaje
ISRAEL akijibu direct kutoka kwake kwenda IRAN basi hii itadhiirisha ISRAEL ni mwanaume
Hapo sasa ngoma itakuwa mbichi
Tutegemee F 15 zikimwaga cheche TEHRAN
wakati huo sasa zike BOMB halisi za kukata na shoka zikitumwa kuifuta ISRAEL katika uso wa dunia
Hizo Kamikaze ni za Kichokozi... Watu wanaamini Israel ataamka tu na kurusha bila assesment.

Kwa hamas tu ilichukua wiki kuamua kuvamia .
 
Drone 500 kitu Gani Hamas walirusha rockets 7000 kwa siku Leo hata Jiwe hawawezi kurusha.
 
Updates:Kambi kuu ya Negev ya Israel yachomwa na makombora ya Iran

The most important air base of the Israeli in Negev was targeted by Iranian missiles. Network 12 of the regime has confirmed that 7 missiles hit this important airbase of the regime
 
Updates:Kambi kuu ya Negev ya Israel yachomwa na makombora ya Iran

The most important air base of the Israeli in Negev was targeted by Iranian missiles. Network 12 of the regime has confirmed that 7 missiles hit this important airbase of the regime
Mimi nachotaka Israel ajibu..

Iran kaoshaonesha uthubutu wake na kibri chake.

Myahudi asipojibu kaogopa....
 
Back
Top Bottom