LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
KKKT ni hapa Bongo tu. Usilinganishe kkkt na taasisi kubwa kama Catholic au orthodox.

Ili ujue kkkt ni ya kibongo hebu ona jinsi wachungaji wake walivyo na nguvu kuliko taasisi yao. Muone Kimaro au Matisai.
Taasisi kubwa iliyoshindwa na Islam Society. Iko wapi ile movement yenu ya crused mliishia wapi?
Catholic ilikuwa na nguvu kipindi Holy Roman Empire. Lakini kwa sasa ni tai wa kuchora yupo nyuma ya muda.
 
Vita kati ya Israel na Iran ni suala la muda tu, pamoja na mambo mengine, hii yote ni kwasababu ya udini na hasa Irani akiwa ndio superpower na mtetezi namba Moja wa Dola ya Kiislamu hapo mashariiki ya kati....
 
Mashambulizi yalikuwa makubwa na yameleta madhara makubwa! Wanakiri wenyewe!

Escalation will take region into perilous territory

The attack that Iran is mounting on Israel is more extensive than had perhaps been anticipated.

BREAKING :Biden and Netanyahu holding call​


The US president and the Israeli prime minister are speaking now.


How the US responds will depend on the scale of the Iranian strikes, the types of weapons used and the extent of casualties and damage.


Afu kuna mabwege humu wanasema Iran hakupiga chochote.

Rais wa Iran anasema Iran kampa fundisho Israel hata li sahau

View: https://youtu.be/Ph-bqQdgdfE?si=zrKByiDErxigDoW9
 
Catholic ilikuwa na nguvu kipindi Holy Roman Empire. Lakini kwa sasa ni tai wa kuchora yupo nyuma ya muda.
Hapa ndipo mnapochanganya kati ya Roman Empire na Roman Catholic.
Muulize basi ChatGPT atakuelezea vizuri
 
Jamii Forum Mhariri Moderator MhaririMkuu hiki kitu gani sasa hapa cha kuunganisha topic yangu hapa, mbona haieleweki mantiki yake.

Mtu akiona hii as reply anaelewa nini sasa?

Total Population:
Iran 🇮🇷: 87.6M
Israel 🇮🇱: 9.04M

Available Manpower:
Iran 🇮🇷: 49.05M
Israel 🇮🇱: 3.80M

Fit-for-Service:
Iran 🇮🇷: 41.17M
Israel 🇮🇱: 3.16M

Military Personnel:

Active Personnel:
Iran 🇮🇷: 610K
Israel 🇮🇱: 170K

Reserve Personnel:
Iran 🇮🇷: 350K
Israel 🇮🇱: 465K

Paramilitary Forces:
Iran 🇮🇷: 220K
Israel 🇮🇱: 35K

Financials:

Defense Budget:
Iran 🇮🇷: $9.95B
Israel 🇮🇱: $24.4B

External Debt:
Iran 🇮🇷: $8B
Israel 🇮🇱: $135B

Foreign Reserve:
Iran 🇮🇷: $127.15B
Israel 🇮🇱: $212.93B

Airpower:

Total Aircraft:
Iran 🇮🇷: 551
Israel 🇮🇱: 612

Fighter Aircraft:
Iran 🇮🇷: 186
Israel 🇮🇱: 241

Attack Helicopter
Iran🇮🇷: 13
Israel 🇮🇱: 48

Land Power:

Tank Strength:
Iran 🇮🇷: 1,996
Israel 🇮🇱: 1,370

Armored Vehicles:
Iran 🇮🇷: 65,765
Israel 🇮🇱: 43,407

Self-Propelled Artillery:
Iran 🇮🇷: 580
Israel 🇮🇱: 650

Naval Power:

Fleet Strength:
Iran 🇮🇷: 101
Israel 🇮🇱: 67

Submarines:
Iran 🇮🇷: 19
Israel 🇮🇱: 5

Logistics:

Airports:
Iran 🇮🇷: 319
Israel 🇮🇱: 42

Merchant Marine:
Iran 🇮🇷: 942
Israel 🇮🇱: 45

Natural Resources:

Oil Production:
Iran 🇮🇷: 3.45M bbl
Israel 🇮🇱: 0 bbl
 
Unachekesha kweli. Hizo drones na missiles jana zimerushwa kutokea Iran zaidi ya km 2000 wameanza kuzuia kuanzia Iraq mpaka Jordan kwani huko kote zilipopita hakuna ulinzi?
Hapa nawaza, pengine hizo zote zilikuwa kwa ajili ya kuchosha au kudanganya mfumo wa ulinzi na zile zilizopiga Israel ndio lilikuwa kusudi lao haswa?
 
1713098853283.png
 
Sasa usijitie kimbelembele vitu usivyovijua. Sisi wenyewe tumesoma Sayansi lakini siyo wapumbavu kama wewe.
Kwani ukisema umesoma historia na lugha, kuna atakayekudharau? Jivunie jambo lako, utaishi kwa furaha. Mimi nikihitaji historia ya jambo najua ipo AI inaweza kunisaidia

1713098973598.png
 
Total Population:
Iran [emoji1130]: 87.6M
Israel [emoji1134]: 9.04M

Available Manpower:
Iran [emoji1130]: 49.05M
Israel [emoji1134]: 3.80M

Fit-for-Service:
Iran [emoji1130]: 41.17M
Israel [emoji1134]: 3.16M

Military Personnel:

Active Personnel:
Iran [emoji1130]: 610K
Israel [emoji1134]: 170K

Reserve Personnel:
Iran [emoji1130]: 350K
Israel [emoji1134]: 465K

Paramilitary Forces:
Iran [emoji1130]: 220K
Israel [emoji1134]: 35K

Financials:

Defense Budget:
Iran [emoji1130]: $9.95B
Israel [emoji1134]: $24.4B

External Debt:
Iran [emoji1130]: $8B
Israel [emoji1134]: $135B

Foreign Reserve:
Iran [emoji1130]: $127.15B
Israel [emoji1134]: $212.93B

Airpower:

Total Aircraft:
Iran [emoji1130]: 551
Israel [emoji1134]: 612

Fighter Aircraft:
Iran [emoji1130]: 186
Israel [emoji1134]: 241

Attack Helicopter
Iran[emoji1130]: 13
Israel [emoji1134]: 48

Land Power:

Tank Strength:
Iran [emoji1130]: 1,996
Israel [emoji1134]: 1,370

Armored Vehicles:
Iran [emoji1130]: 65,765
Israel [emoji1134]: 43,407

Self-Propelled Artillery:
Iran [emoji1130]: 580
Israel [emoji1134]: 650

Naval Power:

Fleet Strength:
Iran [emoji1130]: 101
Israel [emoji1134]: 67

Submarines:
Iran [emoji1130]: 19
Israel [emoji1134]: 5

Logistics:

Airports:
Iran [emoji1130]: 319
Israel [emoji1134]: 42

Merchant Marine:
Iran [emoji1130]: 942
Israel [emoji1134]: 45

Natural Resources:

Oil Production:
Iran [emoji1130]: 3.45M bbl
Israel [emoji1134]: 0 bbl
Kwa ujinga wenu mnashindwa kutofsutisha Dini na masuala ya siasa ndo maana tutabaki kama nchi masikini na raia wenye mihemuko ya kidini.
 
Ufaransa imeomba raia wake kuondoka Iran as soon as possible
Inaaminsha Israel anawapa Iran FAFO (Tena ni FO ndio inata--find out ) online Kuna watu Wana sherekea kitendo Cha Iran kumjaribu Israel Jana sasa jiandaeni kufurahi zaidi maana Zionist huwa wanakulipa mara 100 zaidi roho mbaya sana
👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-154757_2.jpg
    Screenshot_20240414-154757_2.jpg
    200.5 KB · Views: 5
Ufaransa imeomba raia wake kuondoka Iran as soon as possible
Inaaminsha Israel anawapa Iran FAFO (Tena ni FO ndio inata--find out ) online Kuna watu Wana sherekea kitendo Cha Iran kumjaribu Israel Jana sasa jiandaeni kufurahi zaidi maana Zionist huwa wanakulipa mara 100 zaidi roho mbaya sana
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Acha muhemuko wewe fala, kwani lini israel ilishawahi kuonea Iran huruma
 
Back
Top Bottom