LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Ufaransa imeomba raia wake kuondoka Iran as soon as possible
Inaaminsha Israel anawapa Iran FAFO (Tena ni FO ndio inata--find out ) online Kuna watu Wana sherekea kitendo Cha Iran kumjaribu Israel Jana sasa jiandaeni kufurahi zaidi maana Zionist huwa wanakulipa mara 100 zaidi roho mbaya sana
👇👇👇👇
Acha ujinga wewe, Hapo hakuna faida kwa wote, Iran sio Hamas.
 
Acha muhemuko wewe fala, kwani lini israel ilishawahi kuonea Iran huruma
Oya bro hujaachaga shobo kwn hujaelewa kimeandikw elewa mada kinaenda kwel jiandaeni na madela yenu kukmbia ufaransa kuondoa Raia inaonesha wana intel ya nini kinafata sasa ufala umetokea wp na akili kama thread za international huelew ingia majukwaa mengne maan naona roh imekuruk sana kusikia wenzio wanapelekewa moto
 
Nawaonea huruma Iran, japo nilitaka iwe hivyo, maana mtego aliotegewa kwa miaka mingi amenasa ni suala la muda tu atakiona.
 
Hii ni Iran mkuu Mazayuni yakijaribu kulipa kisasi basi watakutana na mkono wa moto wa Iran.

Hii dozi waliokula Israel ni nusu dozi sasa wakijaribu kurusha makombora yao ndiyo watajibiwa kikamilifu.
Hapana sio nusu. hata robo haitimii
Wakipewa dozi nusu izrail inapotea ulimwenguni
 
Total Population:
Iran 🇮🇷: 87.6M
Israel 🇮🇱: 9.04M

Available Manpower:
Iran 🇮🇷: 49.05M
Israel 🇮🇱: 3.80M

Fit-for-Service:
Iran 🇮🇷: 41.17M
Israel 🇮🇱: 3.16M

Military Personnel:

Active Personnel:
Iran 🇮🇷: 610K
Israel 🇮🇱: 170K

Reserve Personnel:
Iran 🇮🇷: 350K
Israel 🇮🇱: 465K

Paramilitary Forces:
Iran 🇮🇷: 220K
Israel 🇮🇱: 35K

Financials:

Defense Budget:
Iran 🇮🇷: $9.95B
Israel 🇮🇱: $24.4B

External Debt:
Iran 🇮🇷: $8B
Israel 🇮🇱: $135B

Foreign Reserve:
Iran 🇮🇷: $127.15B
Israel 🇮🇱: $212.93B

Airpower:

Total Aircraft:
Iran 🇮🇷: 551
Israel 🇮🇱: 612

Fighter Aircraft:
Iran 🇮🇷: 186
Israel 🇮🇱: 241

Attack Helicopter
Iran🇮🇷: 13
Israel 🇮🇱: 48

Land Power:

Tank Strength:
Iran 🇮🇷: 1,996
Israel 🇮🇱: 1,370

Armored Vehicles:
Iran 🇮🇷: 65,765
Israel 🇮🇱: 43,407

Self-Propelled Artillery:
Iran 🇮🇷: 580
Israel 🇮🇱: 650

Naval Power:

Fleet Strength:
Iran 🇮🇷: 101
Israel 🇮🇱: 67

Submarines:
Iran 🇮🇷: 19
Israel 🇮🇱: 5

Logistics:

Airports:
Iran 🇮🇷: 319
Israel 🇮🇱: 42

Merchant Marine:
Iran 🇮🇷: 942
Israel 🇮🇱: 45

Natural Resources:

Oil Production:
Iran 🇮🇷: 3.45M bbl
Israel 🇮🇱: 0 bbl
Kwani hivyo vita ni man to man?
Ngoja hasira ziwapande, msije kuja hapa kuomba huruma na vi hash tag pray for Iran
 
Kumbe, Iran kijeshi wamejipanga sana tofauti na nlivyokuwa nawaza.
Suala linakuja Israel kama wakipigana (God forbid isitokee)hapigani peke yake bali na washirika lukuki. Washirika wa Iran sidhani kama watakua tayari kujiingiza vitani. Ingekua vita ya wao watupu Israel ingechapika.
Naongea kama mtu huru nisiye na mahaba wala interest na upande.
 
Yale yale ya Russia imeshindwa vita Ukraine, kumbe jamaa anajimegea maeneo tu,wew endelea kupokea propaganda ukweli mwanaume Iran kapiga,hayo mengine sis hatujui
Kapiga wapi? Na raia wa Israel wangapi wamepigwa ukilinganisha na wale aliopoteza yeye?
Hukusikia kuwa kasaidiwa na Marekani,Uingereza na Jordan kupopoa makombora powerfull ipi unayosemea
Kusaidiwa ni jambo la kawaida kusaidiwa. Hata missiles za Iran zilikuwepo pia za Urusi, pia Iraq, Yemen na Hezbollah nao walisaidia pia.
 
Back
Top Bottom