Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹uyu shoga ana fanya mambo aki jua kivyovyote bwana ake ata mtetea .israel huwezo wa kwenda vita na Iran face to face bila back up hanaaaaHaya ndio mambo mazuri Sasa,zipigwe.
Copy and pasteHitler and Netanyahu. Wanafanana hawafanani?
Wewe ni mwanajeshi wa kitengo gani hapo makao makuu ya IDF...?Kwahyo unataka kusema Israel Ali attack Iran embassy pale Syria in the akitaka michezo ya piga nikupige au analake jambo inmyhonestopinion alitaka hii response Ili aingie Iran rasmi kumbuka ana backup ya west allies Biden ana act et hawez attack Iran pamoja nae ila ukwel ni kwamba netanyau akistrike Iran allies wao watakua nyuma kudefense Incase Iran akijibu mapigo na tambua Israel ata respond strong kabisa
Us imesema haitahusika kwenye offense phase(kuipiga Iran ambapo Israel pekee inamudu iyo kazi) kwa Irani kwahyo israel anatafanya pekee yake lakini katika defense (kuilinda Israel) west itampa backup
Duh...Simple tu....Jordan na Saudi Arabia zinatoa anga na ilo anga linatumika kwa defense ya Israel tegemea ndege za US UK France pia German anaweza kuja kusupport defence ya Israel sas hapo Israel anauwezo mkubwa wa kwenda kupiga nuclear sites zote za Iran na akijua nyumban huku anausalama wa anga kwa mifumo yake mingi alonayo imara ila pia kwa support ya west
Duh...Simple tu....Ukwel hii inampa nguvu Israel kwenda Iran maana anaimudu kabisa na yeye anawinda nuclear sites maan Iran akishapata nuclear weapons hapatoshi middle east lakin Biden anakauoga kwa escalation kutokea Ww3 inaweza anzia hapo
😂😂😂😂 Iran amesema nchi yoyote itakayotoa anga yake kuisaidia Israel kufanya mashambulizi basi ataishambulia nchi hiyo kwa maana atapeleka moto wa makombora eneo lolote ambapo kombora la Mazayuni litatokea.Jordan na Saudi Arabia zinatoa anga na ilo anga linatumika kwa defense ya Israel tegemea ndege za US UK France pia German anaweza kuja kusupport defence ya Israel sas hapo Israel anauwezo mkubwa wa kwenda kupiga nuclear sites zote za Iran na akijua nyumban huku anausalama wa anga kwa mifumo yake mingi alonayo imara ila pia kwa support ya west
Unadhani nahitaji validation toka kwako?Angalia hapa 👇👇👇👇
Usiwaonee huruma....Iran sio Irak na Iran sio Syria... Iran ni dude kubwa kulivamia na ikumbukwe US anajiongiza king tu ila shughuri sio yake... Timing kwasasa sio ya upande wa Israel kusaidiwa maana US na NATO bado wako busy Ukraine na stock yao ya ammunition imepukutika sana kwa kumsaidia myuKraine na muisrael... Iran ina maelfu ya makombora na ili uivamie Iran kwamafanikio ni lazima uingie Iran apo sawa kitu ambacho sio rahisi... Na sasa nchi nyingi za Mashariki hazina shida na Iran ukiachia kibaraka Jordan na Bahrain...Nawaonea huruma Iran, japo nilitaka iwe hivyo, maana mtego aliotegewa kwa miaka mingi amenasa ni suala la muda tu atakiona.
Kwa hiyo hapo Gaza Israel imesha shinda vita na kuwakomboa mateka na kuiondoa hamas?Tulia mkuu. Pale Gaza mlianza hivihivi kwa nderemo na vifijo
huo ni utaratibu wake hajachaguliwa na mtu pakupiga.Wanaua wanawake na watoto, huo ni ukweli Na watakapoua wapenda haki wataongea.
kama jana lengo la Iran ingekuwa ni kuua wanawake na watoto angeua wengi tu, ila adui yake sio wanawake na watoto Bali ni jeshi la Israel na ndio alilopiga.
Vita ina sheria yake. Kuuwa wananchi wasio na hatia ni uzwazwa na sio ujasirihuo ni utaratibu wake hajachaguliwa na mtu pakupiga.
Israel nae akijibu kwenye majengo asilaumiwe
dogo acha siasa watu wanapigana vita kushinda haijalishi kanuni.Vita ina sheria yake. Kuuwa wananchi wasio na hatia ni uzwazwa na sio ujasiri
Yupo kitengo cha propagandaWewe ni mwanajeshi wa kitengo gani hapo makao makuu ya IDF...?