GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Israel kuna vita ipi alishinda bila msaada wa Marekani+NATO?Hiyo Iran yako inapigana na mdomo sana. Yaan rocket zote down. Hakuna skills hapo ni kelele tu. Vita IPI hapa duniani Iran alishashinda? Nitajie moja tu.
Kijana wangu amemaliza kukupanda binti?Umemaliza kupandwa? 😀 😀 😀
Zile sita zimeisha? Maana ndio mada za kwenye taraweiIsrael kukubali kuogeshwa na mvua ya marocket kutoka Iran bila kujibu mashambulizi ni kuufyata mkia?
Akikujibu nitagKwani Israel kuna vita ipi alishinda bila msaada wa Marekani+NATO?
Kwa hiyo Israel kunyeshewa na mvua ya marocket bila kujibu mashambulizi ni mbinu za kivita?Unajua hata mbinu za military? Embu tutajie moja.
Weye myahudi wa buza ushapata baraka?Zile sita zimeisha? Maana ndio mada za kwenye tarawei
Hivi muizrael ndio wa kutishwa na mafataki kama wanayoyalipua wahindi wakisherekea sherehe zao? Yangekuwa mabomu si yangedondosha nyumba hata Moja. Apeleke mbali Tisha toto
-Mapinduzi ya 1979Hiyo Iran yako inapigana na mdomo sana. Yaan rocket zote down. Hakuna skills hapo ni kelele tu. Vita IPI hapa duniani Iran alishashinda? Nitajie moja tu.
Sina jipya sheikhNipo poa. Wasemaje weye
Ni ujinga au ni nini? Unasema Russia China na North Korea hawajawahi shirikiana?OGOPA USHIRIKIANO WA US, UK, NA FRANCE plus NATO hatari Sanaa Usimuamini Kabisa MCHINA, RUSSIAN NA NORTH KOREA Hawa Watu hawajawahi Kushirikiana Kwenye Vita vya uhalisia hawakawii Kukuacha Mwenyewe Maana Wanamarisha uchumi Wao Ili wawe Juu Ya US Kiuchumi Sio Rahisi kumuingiza Mmoja Wapo Kichwa kichwa Kwenye Vita visivyobIsha Mfano (Ukren)
Kwanini hawawezi kuingilia kumsapot Iran?Dela la Ayatollaah linaenda kuvuliwa hadharani, Myahudi hajawahi shindwa, Iran itawaka moto, nilisema humu watu viburi waksema Israel hana uwezo wa kulipiza kisasi, yaani Tehran itapigwa na hawawezi kuzuia mabomu hawana mfumo imara wowote, hii ligi bado mbichi, Iran inaenda kuwa Iraq or Libya or Aghanistan
US lead NATO members wengi UK, France, Germany, Canada, wote wataingia na kumpiga Iran vibaya, Russia na China hawata dhubutu kutia mguu kum support Iran, subiri muone moto wake..!!
Kwani Iran Hana Nukes?
Iran hana Nukes..Kwani Iran hana Nuclear nyie oteni tu
Nafikiri ushauri wa Biden ni mzuri mzaidi. Wachukulie ile nguvu kubwa ya kupunguza madhara makubwa ndani ya ardhi yao Israel waichukulie ushindi tosha.Do they have any choice..?!
Wewe muuza flash za masanja gospel umekuja huku karibu sanaUnajua hata mbinu za military? Embu tutajie moja.