LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
MImi hilo silijui hakuna nchi inaitwa hivyo ila najua israel anapigana na palestina!

Israel haipigani na nchi yoyote na siku ikipigana na taifa lolote hilo taifa lijiandae kufutwa.....

Ni kainchi kadogo ila balaa....mainchi yenu ya uarabu yapate walau aibu

640px-Iran_Israel_Locator_%28without_West_Bank%29.png
 
Nafikiri tupunguze mahaba na tukubali uhalisia na ukweli! Uhalisia ni huu hapa:

How Israel and allied defenses intercepted more than 300 Iranian missiles and drones​


Israel’s military said Sunday that “99%” of projectiles fired by Iran were intercepted by Israel and its partners, with only “a small number” of ballistic missiles reaching Israel.


Iran attacks Israel with over 300 drones, missiles: What you need to know​


The Israeli military also said that the vast majority of the projectiles were intercepted outside the country’s borders, with help from the United States, the United Kingdom and France. Jordan also shot down some of the missiles aimed at Israel as they were flying through Jordanian airspace.



Kisha ukweli ni huu hapa:

Iran struck ‘important’ Israeli military targets – IRGC (VIDEOS)​


Multiple IDF sites have been hit and destroyed, the Revolutionary Guard Corps claims



Wavaa dera kila mkiona hii picha muwe mnapata aibu

640px-Iran_Israel_Locator_%28without_West_Bank%29.png
 
Mbona hukuwahi kulinganisha eneo la Israel na Gaza panapompelekesha Israel sasa wanaingia mwezi wa saba

Gaza haina haja ya kulinganisha maana magaidi ya waislamu yamejificha ndani ya kina mama na watoto.
 
Watu na wafunguke sasa, kwanini iran hajaingia miezi tisa imepita hadi sasa?
Yaani ameona ulimwengu wanataka kuungana kuwa dhidi ya israel kwasababu hakuna respond kwa sasa from gaza, ni kama gaza wamesarender, so Israel hana sababu ya kuipiga tena, na israel anataka kuimaliza kabisa,

Si ndio kamtumia iran apeleke vidrone vyake ili apate sababu ya kuendelea kuipiga gaza
Wairan ni wanafiki sana
Mbona umeropoka?
Nani alikudanganya Israel haipigi tena Gaza!?
Je wale waliouliwa karibia na gari la msaada wa vyakula kina nani!?

Je wale wamarekani watatu waliouliwa wakiwa katika gari la msaada Gaza waliuliwa na nani!?
Gaza Hamas hawajasarenda maana matakwa yao hayajatimia,hata Israel hawezi kuacha kupiga Gaza maana mateka bado hawajakombolewa.
 
Kwani Israel kuna vita ipi alishinda bila msaada wa Marekani+NATO?
Mbona haujajibu swali langu mkuu? Iran iliwahi kushinda vita ipi?Tafadhali naomba jibu mkuu. Kuna tatizo, kwann hautaki kunijibu?
 
Back
Top Bottom