LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Tangu jumamosi mpaka leo kimya,, hakuna cha majibu wala mavi ya majibu, sana sana wamebaki kuomba huruma ya Kimataifa, mala jeshi la Iran litambulike kama kikundi cha kigaidi, utengenezwaji wa silaha wa Iran uwekewe vikwazo, yani bla bla zimekuwa nyingi,, na laiti kama Hamas ndo wangelikuwa wamefanya shambulio lile basi asubuhi tungeona convoy ya vifaru na midege na mbwembwe kibao, lkn kwa muajemi wameufyata pumbavu..
Kwani baada ya shambulio la Iran ni ndege ngapi zilirejea Iran baada ya kufanya s
Hongera zao kwa kurudisha ndege zote hizo 300 ambazo zilifanya mashambulizi naona walizirudisha pamoja na majeneza yake.
 
US waiomba Iran walau iiruhusu Israel ishambulie ili kuondoa aibu waliyoipata
Ukisikia aibu ya mwaka ni hii....Baada ya Israel kushikishwa adabu na Iran jumamosi ilopita sasa jamaa wanaomba at least wapewe empty target za kupiga ndani ya Iran ili kujisafisha na aibu ya kupigwa na Iran mbele ya jamii ya kimataifa!!
⚡️BREAKING

The US contacted Iran, asking it to allow Israel a symbolic strike to save face, an Iranian official told the Cradle

America asks Iran to allow Israel to carry out a symbolic strike to save face.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Kwani baada ya shambulio la Iran ni ndege ngapi zilirejea Iran baada ya kufanya shambulio?.
Si tuliambiwa Israel ilishambulia ubalozi ili Iran ijae kwenye mfumo...
Na Iran akajaa kwakushambulia ndani ya Israel. Maneno yakawa mengi kuwa sasa Iran anachapwa, mbona mnageuka tena?
Tena mnageuka mkiwa wanyoongee😂😂
 
Nyodo nyingi baada ya Kutupa Vijikombora vyenu Israeli ambavyo vilizuiwa na Israel Defense Systems huku kukiwa hakuna Madhara yoyote yale sasa jiandae kuwajua Wayahudi ( Israel ) walivyo / ilivyo hasa katika Masuala ya Vita na kwanini pia ni Wababe wa Vita duniani na hasa katika Ukanda wa Mashariki ya Kati.

Iran walipotupa Vijikombora vyao Israel juzi walisema hakuna wa Kuwatsha sasa mbona Kiongozi wao Mkuu ameyakimbia Makazi yake ghafla? Mbabe huwa anaogopa au anakimbia Nyumba yake na kwenda Kujificha ili kukwepa Kisasi Kikali na Kitakatifu kinachokuja kutoka kwa Wayahudi?

Ukiona hadi GENTAMYCINE nimeweka Avatar ya Israel Premier Benjamin BIBI Netanyahu tokea nijiunge hapa JamiiForums na wala sitoitoa labda niwe nimeshatangulia mbele za Haki jua kuwa nimegundua ni Mtu tunayefanana Vingi hasa Akili Kubwa, Ubabe wa Kivita, Ubunifu na Kujiamini huku tukimtuamini Mwenyezi Mungu.

Ukitaka kujua Taarifa hii ya Kiongozi wa Iran Kula Manyoya ( Kukimbia ) Makazi yake tembelea Media zote Kubwa sawa?
Naona umesahau kuwa kazi ya kuzuia makombora ilianzia Iraq mpaka Jordan zaidi ya km 2000 huku wayahudi wakiwa wanajiharishia kwenye mahandaki na hatimae kuishia kupiga kambi za kijeshi za Israel.
 
Hebu waza mamia ya magobore au mafataki kama haya yalitumwa kwa kataifa kadogo mithili ya mkoa na kaliyashusha yote, je kuna taifa Afrika lenye uwezo huo?

Mpaka sasa matokeo -Israel imepoteza binti mmoja, Iran imepoteza majemedari saba.

main-qimg-d0e49fc5bc44d616dfac089abc581063


Kataifa kenyewe haka hapa
Wavaa dera mpate aibu brazaj

image.jpeg
Hiyo picha hapo juu ni missiles booster huwa inakua separated na warhead kabla kupiga 🎯 rudi darasani we mkunya.
 
Watu wasiojulikana waliingilia tovuti ya Wizara ya ulinzi ya nchini Israel na kudukua siri nyingi za silaha na kinu cha Nyuklia cha Dinoma, udukuzi huo hauwahi kutokea kabisa katika historia ya WIzara nyeti ya Ulinzi.
si wanasemaga mosad ndo moja ya shirika bora zaidi la ushushushu duniani
imekuaje tena
 
Napata raha hadi naumwa, Israel imetuheshimisha...
Daudi vs Goliathi...kumbe yaliyoandikwa yapo na yalitendeka.

640px-Iran_Israel_Locator_%28without_West_Bank%29.png
We Jamaa uelewa wako ni finyu...Mbona unaabisha Wakenya ivo.... Dunia Nzima imeona ni Nchi ngapi zilishiriki kuzuia makombora ya Iran..

Leo Jo Biden ktk Bunge la US anaomba lipitishe msaada wa dharura wa kuisaidia Israel na amesema km Israel atazidiwa ni dhahiri US ataingilia kati....Leo US na UK bila kificho wamesema hawatashiriki ktk kuivamia Iran lakini watashiriki kuilinda Israel...
Hii maanake nini? Ni kwamba Israel fanya ufanyalo lakini sisi tutakulinda kwa gharama yoyote ile... Nchi wanachama wa EU wapo wanaanda sanctions dhidi ya Iran, US nae yupo anaandaa Sanctions dhidi ya Makombora na drone za Iran....Kwann wababaike na waungane dhidi ya Iran jibu ni rahisi uwezo aliouonesha dhidi ya Israel sio wa level nyingi ata kwa nchi nyingi za Ulaya hawana... Israel ni Taifa tunalolijua ukilifanyia unyama wowote haitapita ata masaa 5 watakua wamejibu mbona apa kwa Iran wanajitafuta?? Raia wa Israel waliohojiwa wamesema hawataki taifa lao lijibu maana hawataki kuishi kwenye mahandaki km simblisi....

Iran v/s Israel,US,UK,Jordan,EU na wengine weeengi wapo kwa nyuma kuhakikisha Israel hapigwi...
 
Maneno mengi sana, una chochote unaropoka ropoka tuuu mara jericho mara dolphin 🐬. Tumia muda kutengeneza kipato
Unataka kujua kipato changu??? Mamaako anaweza akulazimishe uniite baba
 
We Jamaa uelewa wako ni finyu...Mbona unaabisha Wakenya ivo.... Dunia Nzima imeona ni Nchi ngapi zilishiriki kuzuia makombora ya Iran..

Leo Jo Biden ktk Bunge la US anaomba lipitishe msaada wa dharura wa kuisaidia Israel na amesema km Israel atazidiwa ni dhahiri US ataingilia kati....Leo US na UK bila kificho wamesema hawatashiriki ktk kuivamia Iran lakini watashiriki kuilinda Israel...
Hii maanake nini? Ni kwamba Israel fanya ufanyalo lakini sisi tutakulinda kwa gharama yoyote ile... Nchi wanachama wa EU wapo wanaanda sanctions dhidi ya Iran, US nae yupo anaandaa Sanctions dhidi ya Makombora na drone za Iran....Kwann wababaike na waungane dhidi ya Iran jibu ni rahisi uwezo aliouonesha dhidi ya Israel sio wa level nyingi ata kwa nchi nyingi za Ulaya hawana... Israel ni Taifa tunalolijua ukilifanyia unyama wowote haitapita ata masaa 5 watakua wamejibu mbona apa kwa Iran wanajitafuta?? Raia wa Israel waliohojiwa wamesema hawataki taifa lao lijibu maana hawataki kuishi kwenye mahandaki km simblisi....

Iran v/s Israel,US,UK,Jordan,EU na wengine weeengi wapo kwa nyuma kuhakikisha Israel hapigwi...
Ninachokijua ni kwamba, Iran siyo ya kitoto. Nadhani hata Biden na Netapuss wanajua hilo ndo maana wanaigwaya Iran.
Ikumbukwe kuwa, Israel iliposhambuliwa tu hatua ya kwanza ilikuwa ni kuomba UN kuitisha kikao cha dharula badala ya kujibu mashambulizi.
 
Back
Top Bottom