Yanayojiri Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu, na Mkutano wa Hadhara Temeke Leo Jumatano 25/1/2023

LISSU:Katiba mbovu inaleta TOZO na kupunguza Ugali wa watoto mezani.

Mbowe: CDM inatafuta Watu LAKI 5 pekee DSM ambao,

wanatosha kuitoa CCM madarakani Kwa maandamano.

Hivyo kuharakisha upatikanaji wa KATIBA mpya b4 2025.

LISSU: Wamasai wameondolewa Roliondo Ili wanyama wetu wapelekwe sokoni uarabuni.

LISSU: Kesi ya UGAIDI ya Mbowe ilitengenezwa na s100 Ili kuzuia CHOKOCHOKO za KATIBA mpya.

LISSU: Pasipokuwepo na nguvu ya UMMA mtaani, Mkt Mbowe atatulizwa ktk meza ya maridhiano.
 
Kwa haya yanayoendelea kwenye siasa watanzania tunasema asante Rais Samia Suluhu kwa kurejesha amani nchini pamoja na kuimarisha democrasia
 
Heee makubwa haya. Bila demokrasia haya tungeyajua wapi?

Ukute Rais kafanya makusudi ili mafisadi wapate kusemwa vizuri.

Kama mnavyojua kumsema Fisadi ndani mwako ni ngumu.
 
Imependeza sana. Nderemo nderemo na vifijo
 
Heee makubwa haya. Bila demokrasia haya tungeyajua wapi?

Ukute Rais kafanya makusudi ili mafisadi wapate kusemwa vizuri.

Kama mnavyojua kumsema Fisadi ndani mwako ni ngumu.
Hahaa, nategemea thread zianzishwe tuzijadili Kwa machache nilofanikiwa kuyasikia.

Si unajua JF kwanza.
 
Hongera sana Jeshi la Polisi kwa kudumisha amani na utulivu.

Pongezi kwa IGP
 
Safi sana
 
THE PRESIDENT IS BACK... Welcome home Tundu Lissu, magufuli alibaka na kulawiti uchaguzi mkuu 2020 na kutuletea bunge na utawala wa hovyo kabisa kuwahi kutokea nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…