Mbona kura bado?Ndugu zangu upande wa wapenda mabadiliko. Sisi ambao tulitamani sana mheshimiwa Lissu ashinde uchaguzi huu. Hatuna namna tena. Tumeshindwa. Iwe kwa rushwa iwe kwa nini lakini hali ni mbaya. Mimi kama mimi sipo tayari kuongozwa nao. Asanteni sana.
Tulia matokeo yanakaribia kadiri muda unavyozidi kuyoyoma.Mbowe anaongea kama mtu vile
Hii speech ya FAM mbona kama imekaa kimkakati wazee au mim ndo simuelewiUtofauti wao mkubwa sana
Lissu kaongea kuomba kuonewa huruma na bado kulalamika
Mbowe yupo vizuri zaidi yake. Nondo Nondo anamwaga
Kadi unayo?Tulia matokeo yanakaribia kadiri muda unavyozidi kuyoyoma
LEMAMbowe amesema wakimaliza uchaguzi ni lazima wasafishe nyumba yao...hui uchafu ni upi unaotakiwa kusafishwa?🐼
Hata mimi nimeona! Wajumbe wasidanganyike🥹Huyu mzee mlaghai anavyoongea kama yupo serious na kwakua mwenyekiti wamempa dakika nyingi
Imekaa kimkakati!Hii speech ya FAM mbona kama imekaa kimkakati wazee au mim ndo simuelewi
Kwani Lissu kesha ongea?Huyu mzee mlaghai anavyoongea kama yupo serious na kwakua mwenyekiti wamempa dakika nyingi
Ananadi sera huyu Mzee!Hivi Mbowe anatoa hotuba au ana nadi sera?