Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Lengo lenu wanaCCM ni CHADEMA ipuuzwe na Wananchi.

Mnataka hali iwe hivi👇
View attachment 3208780
Mimi ni mwanachama tangu zama za mtei, hawa vijana wakihuni wa TAL wanataka kuharibu chama.

Angalia ukimbi ulivyojaa, ni kazi ya Mwenyekiti, ukiwemo wewe.

Hatutaki matusi, na fujo ndio maana chadema ipo ilipo.

Hao wahuni hataTAL hatowaweza, wote wanataka vyeo ndani ya chama, unadhani vyeo viko vingapi kuwatosheleza wote hao?

Hao Team Lisu, Wanaleta, njaa majungu, wivu uliopitiliza, na matusi chadema.

Mbowe must win, and Lisu must go.
 
Ila wanakiacha chini ya msagaj eeh
 
Hatutaki Chama cha Tajiri mmoja Chama ni cha wanachama.
Chadema ni chama cha wote, hakuna cha tajiri wala masikini, ukiwa tajiri njoo, na ukiwa masikini njoo.

Hizo propaganda tu, Mbowe kakijenga chama, tizama umati huo, yote kazi yake na team aliyoiunda, chadema hakuna pesa za kumtajirisha mtu, hivyo team Lisu wapunguze mori.
 
We naye kutwa kumtetea mchaga mwenzako..oh Mbowe kakijenga chama..kwani nani hajakijeng? Ukute unabwabwaja hapo huna hata kadi ya uanachama wa chadema..tunamtaka Lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…