Mzee wetu Huna hoja hoja yako mda wote ni kujaza ukumbiChadema ni chama cha wote, hakuna cha tajiri wala masikini, ukiwa tajiri njoo, na ukiwa masikini njoo.
Hizo propaganda tu, Mbowe kakijenga chama, tizama umati huo, yote kazi yake na team aliyoiunda, chadema hakuna pesa za kumtajirisha mtu, hivyo team Lisu wapunguze mori.
Tunamaanisha NURU (lisu) Imeshinda GIZA (mbowe)nimeangalia hapa naona wajumbe wa jf mmemchagua lissu zaidi mnamaanisha nini...?😅
Nyama na Pombe za ofa.CV ya Lissu ni kubwa sana ktk harakati za upinzani Tanzania. Naweza kusema huwezi kuwataja wapinzani wa CCM bila kumtaja Lissu. Licha ya huvyo Lissu hakumfikia marehemu Seif jinsi ya kuisumbua CCM.
Seif licha ya kutokuwa kiongozi mkuu wa Cuf yaani Mwenyekiti lkn aliitikisha sana CCM hadi kufikia miafaka zaidi ya 3 na hatimae ikaundwa serekali ya kitaifa.
Maalim alianziasha harakati za jino kwa jino lakini pia harakati za maridhiano.
Maalim alifariki akiwa na heshima kubwa ktk siasa za upinzani.
LISSU.
Lissu licha ya kuwa mpinzani lkn mtego aliongia ushammaliza kisiasa. Mtego wa kutaka kuisambaratisha chadema kupitia lema na Heche limemtoa kabisa ktk siasa za chadema.
Tumuombeeni sana Lissu ktk siasa za upinzani. Lilobaki aende CCM akamalizie maisha yake
Lissu nje ya chadema hawezi kuendesha siasa. Siasa za lissu litigemea chadema.
Kwa hivyo za kumuombea lissu baada ya kushindwa ni muhimu
kuna KO itapigwa hautakuja kuaminiTunamaanisha NURU (lisu) Imeshinda GIZA (mbowe)
😊😊☺️☺️😊
Nadhani session ijayo ndo wanapiga kura sasa .leo hakuna kulalaKura zingepigwa mchana huu mambo ya usiku (GIZA) sio vizuri wangepiga kura mapema ili zihesabiwe mapema..
Sasa unaipinga tena ile hoja yako ya CHADEMA kuwezeshwa na Mbowe, sisi tunataka CHADEMA isitegemee fedha za mtu mmoja tunataka CHADEMA ijitegemee kama LISSU anavyotaka.Chadema ni chama cha wote, hakuna cha tajiri wala masikini, ukiwa tajiri njoo, na ukiwa masikini njoo.
Hahaha kumbe shida yako ukabila?We naye kutwa kumtetea mchaga mwenzako..oh Mbowe kakijenga chama..kwani nani hajakijeng? Ukute unabwabwaja hapo huna hata kadi ya uanachama wa chadema..tunamtaka Lisu
Mimi very active toka 2009 wakati wewe unanyonya ..! Na niko active sio mwanachama mfu...wewe ni mchaga usibisheHahaha kumbe shida yako ukabila?
Mimi siyo mchaga.
Kuhusu uanachama wewe huna hata thubutu kuniuliza.
Wewe hata kujenga kikoba hujui, huwezi kuelewa kujenga chama.
Nyie ndio hamtakiwi ndani ya chadema, kelele, wivu na majungu, njaa mnavileta chadema
CHADEMA wakizingua, nitawazika rasmi wapinzani. Wanapaswa kujua kwamba maamuzi yao yamebeba taswira ya na muelekeo wa siasa za Tanzania.Mqbadiliko
View attachment 3208456
Sasa bila kujaza ukumbi unge kuwa hapa unaijadili vhadema wewe?Mzee wetu Huna hoja hoja yako mda wote ni kujaza ukumbi
Na ndipo itakua mwanzo na mwisho wangu kuunga mkono mageuzi/ mabadiliko nchi hii.kuna KO itapigwa hautakuja kuamini
hata mimi nimeshangaa kuona kwamba mpaka sasa hivi eti bado hawajaanza kupiga kura! ina maana tundu lisu bado tu hajashituka kuhusu mchezo mchafu wanaotaka kuucheza usiku?Kura zingepigwa mchana huu mambo ya usiku (GIZA) sio vizuri wangepiga kura mapema ili zihesabiwe mapema..
Sijasema Mbowe kaiwezesha chadema, ninasema strategies za Mbowe na team yake zimeijenga chadema kufika ilipo.Sasa unaipinga tena ile hoja yako ya CHADEMA kuwezeshwa na Mbowe, sisi tunataka CHADEMA isitegemee fedha za mtu mmoja tunataka CHADEMA ijitegemee kama LISSU anavyotaka.
Kweli maana,hata mimi nimeshangaa kuona kwamba mpaka sasa hivi eti bado hawajaanza kupiga kura! ina maana tundu lisu bado tu hajashituka kuhusu mchezo mchafu wanaotaka kuucheza usiku?
kwani ratiba yao inaonyesha zoezi la upigaji kura litaanza muda gani hasa na litamalizika muda gani?Nadhani session ijayo ndo wanapiga kura sasa .leo hakuna kulala
kwa taarifa yako mbowe sasa hivi hana cha kupoteza hapo kwake cha kupoteza ni kuikosa chadema kuwa mwenyekiti lakini baada ya hapo hana cha kupoteza hata wahame wote atabaki na chama chake provided atapata na wabunge kadhaa anaendelea kula ruzuku kialini lissu ana haha huko chauma kutafuta urais ambao hataupata 2030 ni nchimbi 2040 makamba 2050 nnauye 2060 mtoto wa makambaSultan Mbowe Bin King'ang'anizi atashinda kimagumashi akitumia rushwa ambayo ni sponsored na majizi ya Ccm baada ya hapo ataishi kwa majuto akielewa kabisa black & white kuwa watu wameshajua ni mamluki na hawana imani nae