cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
Mzee wetu Huna hoja hoja yako mda wote ni kujaza ukumbiChadema ni chama cha wote, hakuna cha tajiri wala masikini, ukiwa tajiri njoo, na ukiwa masikini njoo.
Hizo propaganda tu, Mbowe kakijenga chama, tizama umati huo, yote kazi yake na team aliyoiunda, chadema hakuna pesa za kumtajirisha mtu, hivyo team Lisu wapunguze mori.