Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
IMG_20250121_232557.jpg

Duh! Cc ephen_
 
Wauliza maswali ni wengi ila nafasi ni chache.

Na kuna kitu ambacho hakipo sawa kwenye hili.

Kwenye sera za Wenje waulizaji maswali inaonesha wale wanaomuunga mkono Lissu na Heche wamenyimwa nafasi ya kuuliza maswali.

Na badala yake nafasi wamepewa watu wa upande wake ambao wanauliza maswali soft.

Watu wanalalamika wakidai Mc anafanya upendeleo.
 
Back
Top Bottom