Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Kwann chadema wanapenda kutoa matokeo mida ya wachawi? Yaani kazi ya kupiga na kuhesabu kura 1200 ndiyo inafanywa mpk mida ya wachawi? Au kuna ajenda fichika?
Mkuu, katika karne hii kuendesha mambo namna hii wanathibitisha wazi kwamba hakuna wanaloweza hawa.
 
Kwann chadema wanapenda kutoa matokeo mida ya wachawi? Yaani kazi ya kupiga na kuhesabu kura 1200 ndiyo inafanywa mpk mida ya wachawi? Au kuna ajenda fichika?
Ni noma
 
Back
Top Bottom