Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hii ni kwa mujibu wa nani, mkuu? Respect kwa hoja yako, lakini bado haina haki ya kunyonga hoja zingine ambazo most likely ni bora zaidi.kwenye mgogoro huu, mtu ukitaja na hoja za maandiko ya dini yoyote ile, tayari ushapoteza mantiki
Tupo uzi huu, iangalie halafu jibu. 1947, Israel alipigana vita ya kitu gani?Kuna uzi nimeupandisha humu muda si mrefu, nimeweka video clip. Naomba uupitie huo mkuu. Upo Jukwaa la Kimataifa
Wewe ni jasiri sana lakini kwenye key board tu tena ukiwa umjificha nyuma ya fake IDTatizo ndugu zenu wayahudi ni waoga kwenye mapambano ya USO kwa USO
Duuuin every action there is equal reaction
Sasa benders ya mashoga ya niniHuyu lazima atakuwa ametoka kwa mtogole,,,,na ana ID kama tatu humu ndani za kutupa yaliyojiri...
View attachment 2777254
Sitalijibu hilo.Tupo uzi huu, iangalie halafu jibu. 1947, Israel alipigana vita ya kitu gani?
Sahivi wanaomba poaNaona tupo na waziri mkuu wa Israel humu.
So mhishimiwa unakizungumziaje kichapo walichowachapa jamaa juzi,uongo m'baya mara hii wamewashika pabaya.
Tulia hivyo hivyo,bado kwanza wanaume wa shoka wanadeal na Gaza,huo mji HAMAS hawana uwezo wa kuushikilia hata kwa week moja.Na ukikombolewa ulete mrejesho hapa usikae kimya kama kawaida yako mambo yakiendaga kombo upande unaoupendaMji wa sedrot bado upo mikononi mwa Hamas leo ni siku ya nne Israeli imeshindwa kuukomboa
Hoja zilizokuwa based on myth utaziitaje hoja?Hii ni kwa mujibu wa nani, mkuu? Respect kwa hoja yako, lakini bado haina haki ya kunyonga hoja zingine ambazo most likely ni bora zaidi.
Na jamaa walivyo wahuni utasikia wanatoa msaada wa chakula ndani hua wanaweka kitimoto,kataa kula njaa ikuueHamas na Wakazi wa Gaza hawana umeme, maji, vyakula sasa hivi ukiwapelekea hata Kitimoto wanakula
πππ
Labda unajiuliza ama unauliza? If later one, basi mtetee mnyonge -- asiye na hatia.Mm sijui hata nimtetee nani maana wote nawachukia
Basi piga kimya kama huna hojaSitalijibu hilo.
Pia ni sifa kwa akili ndogo kutoweza kuona hojaBasi piga kimya kama huna hoja
Again, respect to your opinion. Lakini profiling & general mischaracterization into the so-called ^myth^ needs some broader discussion.Hoja zilizokuwa based on myth utaziitaje hoja?
Wewe akili kubwa uliyeiona mbona hutaki kujibu hoja? Jibu hoja au piga kimya..Pia ni sifa kwa akili ndogo kutoweza kuona hoja
Maandiko hayawezi tatua kitu paleHii ni kwa mujibu wa nani, mkuu? Respect kwa hoja yako, lakini bado haina haki ya kunyonga hoja zingine ambazo most likely ni bora zaidi.
Nimeshakuelekeza kwa kupata majibu. Kuna wengine nimewapa majibu maana nimeona ni kweli wanahitaji majibu, lakini wewe hadi nimekupotezea na kukuelekeza vinginevyo ni sababu nimeina una akiki ya kivivu, yaani serious unauliza eti kabla ya mwaka 1947?Wewe akili kubwa uliyeiona mbona hutaki kujibu hoja? Jibu hoja au piga kimya..
Shalom Israel. Kazi iendeleee πππ
Nenda huko kwenye jibu, kisha ulilete hapa, ikiwa kila mwenye hoja anaambiwa nenda kule au kule hapatakuwa na jukwaa, bali vurugu. Jibu hoja au piga kimya.Nimeshakuelekeza kwa kupata majibu. Kuna wengine nimewapa majibu maana nimeona ni kweli wanahitaji majibu, lakini wewe hadi nimekupotezea na kukuelekeza vinginevyo ni sababu nimeina una akiki ya kivivu, yaani serious unauliza eti kabla ya mwaka 1947?
Ni lazima usaidiwe kuumiza kichwa na siyo spoon feed. Ndiyo maana sikukupa hata link, bali nimekwambie utafute