Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Hamas sio jeshiMbona hamas hakwenda kwenye military bases za watoto wa Yakobo akaenda kwenye music festival. Wale vijana walikosa nini?.Wameyatimba wacha kazi iendelee ndio siku nyingine iwe funzo. Mungu wa Israeli, yupo macho. Never sleep.
Wwe pia ni wakuchinjaHivi hii dini inayofundisha kushabikia kuchinja binadamu siielewi kabisa, ugaidi na uislamu vinashabihiana sana
Sasa mkuu si tumesha kubaliana kuwa hamas ni magaidi ?kwahiyo wakifanya hivyo hatushangai ila akifanya Israel ni razima tushangae kwa sababu ni jeshi lenye kila aina ya nyenzo za kufanya mambo kwa waledi badala ya kufanya mambo kiholela kama hao mnao waita magaidi.Mbona hamas ilishambulia makazi ya watu waliokuwa kwenye shughuli zao ambao hawana hatia?
Waendelee tu kwakweli,hakuna namna
Maana tumezaliwa timekuta wanapigana ,na tutwaacha hakuna wa kuweza kusimamishwa hili , mwanadamu,au Chochote zaidi ya Mungu mwenyewe
Wanatakiwa watumie jina la mama ykoHapo ndio ujue aina ya Allah wanaemwamini. Allah anayeahidi mabikra 70 na mito ya ulevi huko peponi ndio huyo huyo anayekunywa damu za watu hapa duniani kwa kisingizio cha kumpigania what a nonsense.
Jana Israel ilifanya shambulizi kwenye kambi ya wakimbizi iliyoko chini ya umoja wa mataifa na kuuwa zaidi ya watu 30 na kujeruhi wengi tu hebu niambie hilo shambulizi lilifanywa kwa misingi ipi?Yaan mzee wangu nadhani unge digest Kwa Kwanza kwann wanalenga majengo baadhi Tu na siyo kila jengo
Lakin pia juzi nilikuwa makini kufatili jengo moja likiwa Lina shushwa nilisikia sauti Kama ya Bomu imegonga jengo mtangazaji akasema hiyo ni ishara yakwa ilo jengo litabomolewa mda siyo mrefu na kweli dakika Kama tano jengo likashushwa,sasa niambie niadui unataka awe mzur kias gan ambaye anakupa ishara kabla hajakushambulia,
Nilazma uelewe yakwamba taarifa za kiintelejensia huwa zinatolewa Kwanza kwamba labda ndani ya jengo kuna silaha,au mipango ya kushambulia Israel ndo wanabomoa ilo jengo.
Wanaamini muda ishara inapolewa mpaka jengo linapobomolewa Kama mtu upo karibu utakuwa ushakimbia hata Kama upo ndani lakin ningumu kutumia huo muda kuamisha silaha
Limekwamishwa na kucheleweshwa na wanadamu, that means mambo ya amani yanaweza suluhishwa na wanadamu hapo, ila watu wKitaka fungua andiko hili linasem vile ndo watu wanaendelea kushangilia hivo vifo kwa kupokezana tuNakuunga mkono hadi nukta hii, mkuu. Na wala si zaidi ya hapo.
BTW, wengi sana wangependa kuona hili Iikitokea, tena haraka maana limekwamishwa & kucheleweshwa muda mrefu sana.
Nimekuelewa Kwa ufafanuzi huuKama huelewi wapo wa isiraeli ambao sio wayahudi
Kwa ufafanusi wayahudi ni ukoo wa yuda mwana wa isiraeli Kati ya watoto kumi na mbili wa yakobo ambaye ndiye isiraeli hivyo watoto wengine kumi na moja pia ni Wana wa isiraeli
Poa Kwa nyongeza kuna tofauti Kati ya waebrania na wa Ibrahim
Kumbe Ibrahim alikua muebrania akazaa watoto wakawa Wana wa Ibrahim
ishimael mtoto wa hagiri mmisli
isaka mtoto wa sala muebrania
Pia Akawazaa watoto Kwa ketura suria wake Ibrahim zimrani na yokshani na medani na midiani na ishabaki na shua
Wana wote wa Ibrahim walikua wanane
hai
Hayo walikua Wana wa Ibrahim I na pia walikua waebrania Kwa kua Baba Yao ni muebrania
Vivyo hivyo Kwa Wana wa Israel walikua kumi na wawili mtoto wa mke mkubwa wa yakobo Leya alizaa mtoto wake wa nne aliye muita yuda ambaye huyo kwake aliandaliwa kuzaa wafalme watakao watawala Wana wote wa isiraeli
Kwa huyo yuda walitoka kabila la wayahudi ambao Leo wote wanaitwa wayahudi Kwa kua myahudi ndiyo alikua mtawala wao
Kwa hiyo wote Kwa ujumla wao ni waebrania Wana wa Ibrahim
Kati Yao kuna wa Ismael(nebayoth/kedari/abdeel/mbisam NK)
Kuna wa isihaka(waedom na waisrael)
Kuna wa zimrani Kwa ketura na ndugu zake
Hivyo ipo tofauti ya waisrael wayahudi na Jamaal zao Kwa kuwaunganisha wote waite waebrania hapo hayupo atakaye kataa
Wew ni Mjinga usie Jua kitu, Israel inachofanya ni sahihi hao Magaidi wanafanya uharibifu Alfu wanakimbia kujificha kwenye Magorofa!! Sasa tulia hivyo isikuume hakuna kujitofoutisha utapokelewa jinsi ulivyo kuja hamna cha huruma Wala nn sambaratisha Kila kitu!!! Ili tukiingia Aridhini wakose pa Kujificha.Hivi una akili ww tahira au una ropoka tu?
Kwanza umeelewa nilicho kiandika?.
Israel anatakiwa kujitofautisha na hao anao waita magaidi kwa kufanya mambo kwa weledi na sio kiholela.
Unajiita jeshi bora alafu unarusha mabomu hovyo hovyo kwenye makazi ya watu kama vichaa pumbavu
Jordan Wana uhusiano mzuri na Israel wenyewe hawatakagi shida.⚡Jordan announced the opening of its bases to American planes to provide military support to Israel in its war.
Kizazi cha mtoto wa agano wa Mungu yaani Isaka anavurugiwa urithi wake na mtoto asiye wa agano yaani Ishamael na sasa ni rahisi kujua imani ya shetani imepitia kwa nani na Imani ya Mungu wa kweli imepitia kwa nani kwa kifupi hii vita ni watu wa Mungu na Mungu wao wanapambana na watu wa shetani na miungu yao.Biblia inanipa hostoria nzuri sana dhidi ya wayaudi na wapalestina ,hawa Jamaa no ndugu WA Baba mmoja ila mama tofauti,myaud ndo alipewa hiyo ardhi wanayogombania ,sema saivi kinacho wagawa zaidi ni Imani walizo nazo
PropagandaSijajua ila walikufa 6 million jewish
King Abbdul of Jordan will regret this.Jordan Wana uhusiano mzuri na Israel wenyewe hawatakagi shida.
😂😂😂