Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
IRAN anajijua sana inaviziwa na mataifa mengi kama USA na ulaya magharibi sasa akisema aingie vita na mtu pale itakuwa shida sana.Tuseme tu ukweli Israeli haiweza kupambana vita na Iran maana kwenye huu mgogoro Israeli imeonesha udhaifu mkubwa
Korea Kaskazini ina uwezo wa kurusha kombora la Nyuklia na likatua Marekani na kusababisha maafa makubwa.Yani mkuu ndo wale wanaosema North Korea inauwezo wa kupigana na USA?
Close quarter combat ni muhimu mpaka sasa ili kudhibiti maeneo.Vita ya mtaa kwa mtaa naona ni ya kizamani mnoo.
Ndo tishio lake hilo tuu analolitegea hana kingineKorea Kaskazini ina uwezo wa kurusha kombora la Nyuklia na likatua Marekani na kusababisha maafa makubwa.
Mossad wapo kazini tayari kuna taarifa kulikuwa na kikao kizito mjini Beirut na ramani nzima imechorwa pale.Mkuu iran wanagoma kwamba wao hawajahusika wakati equipment za hamas wanazotumia ni za Iran.
Nafikili hizo mbinu ni Iran waliwapa kuna kitu walilenga sasa naona mpango umegoma.
Iran siraha za nyukria hana ila Israel wanazo.Nchi yoyote yenye uwezo wa kuwa na silaha za Nyuklia ni ya kuogopwa na ni Iran tu ndo haujulikani imefikia wapi lakini yaaminika kuwa tayari imefikisha kiwango cha makali ya bomu lake.
Mwanasiasa mkongwe na aliyekuwa mjumbe wa baraza la wawakilishi nchini Marekani Ronald Ernest Paul kutoka jimbo la Texas na ambaye kwa sasa ni mstaafu miaka ya nyuma aliwahi kusema maneno haya (Tizama video clip niliyoiambatanisha hapa) wakati akichangia hoja ya hali ya amani katika nchi za Mashariki ya Kati, haswahaswa baina ya Israeli na Palestina.
Ifuatayo ni summary ya aliyasema katika video hiyo.
#) Marekani inahusika moja kwa moja na haiwezi kujitenga na mgogoro baina ya Israeli na Palestina kwakuwa imekuwa ikiipa Israeli misaada ya kifedha na silaha kwa miaka mingi- fedha na silaha ambazo ndizo hutumika kuwaua Wapalestina.
#) Vile vile ukiangalia historia, taifa la Israel ndio muasisi wa kikundi cha Hamas. Kikundi hichi kilianzishwa na Israeli kwa lengo la kumdhoofisha Yasser Arafat,(aliyekuwa mwanaharakati na mpigania raisi wa Palestina) ambaye alikuwa ni m/kiti wa chama cha PLO.
#) Ni Marekani hiyo hiyo iliyoamua kusimika utawala wa kidemokrasia Mashariki ya Kati, ambapo wapalestina kwa kutumia demokrasia hiyo hiyo wakuchagua Hamas ambayo ilikuwa maarufu kipindi hicho iwaongoze.
#). Na mengine mengi utayasiki katika video hii.
View attachment 2778027
Mbaya zaidi dunia nzima inaaminishwa Hamas is a terrorist organisation huku ukweli ukifichwa kwa nguvu zote kuhusu waasisi wake.Marekani huyo huyo anazid kupeleka silaha.. na kuwazuia palestina kupokea zao
Hebu tuambie ni kwanini mkuu?Hata wasingekuwa na mkataba, kuna sababu kwanini Egypt hawawazi kuipigania Palestina.
Mkuu, hakuna aliethibitisha kuwa Iran haina silaha za Nyuklia kwa sababu wamegoma kutoa access.Iran siraha za nyukria hana ila Israel wanazo.
Iran alipigwa vita sana kuhusu hizo siraha. Kuna kipindi mpka wanasayansi wa Iran wa atomic waliuwawa wengi sana na USA pamoja na mossad , walipukutika kama mchanga mkavu uliopo kwenye lorry afu lipo speed 150km/h.
Mpaka wakaomba wataalamu kutoka urusi.
🤣🤣🤣Wapalestina wa buza
Hauna Hali Kwa upangaMbaya zaidi dunia nzima inaaminishwa Hamas is a terrorist organisation huku ukweli ukifichwa kwa nguvu zote kuhusu waasisi wake.
Bora tunaongeza maarifa km hivi🤝Korea Kaskazini ina uwezo wa kurusha kombora la Nyuklia na likatua Marekani na kusababisha maafa makubwa.
Vilevile Marekani nao wana uwezo wa kurusha makombora kadhaa ya Nyuklia ambayo yataifuta Korea Kaskazini kwenye uso wa Dunia.
Ndo maana hadi leo Marekani na Korea Kaskazini waheshimiana.
Nchi yoyote yenye uwezo wa kuwa na silaha za Nyuklia ni ya kuogopwa na ni Iran tu ndo haujulikani imefikia wapi lakini yaaminika kuwa tayari imefikisha kiwango cha makali ya bomu lake.
Ndo maana nikasema Israeli hawawezi kupigana na Iran peke yao bila msaada wa mataifa ya magharibi na Marekani.
Iran ni wafadhili wa Hezbollah kwa kila kitu mafunzo, pesa na silaha.Mkuu unajua akili za Iran.