n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Kobazi mnaona mizigo hiyo ππππππππ¬, mtatafutana nawaambia sijui mtajificha kwenye handaki gani msifumuliwe ubongo na haya madude.America's satellite state or diaspora state ikipelekewa msaada
More planes loaded with ammunition and weapons from America and Britain are arriving at Israeli military airports.
View attachment 2779185View attachment 2779186View attachment 2779189View attachment 2779190
Hiyo nchi ni mali ya wana wa Israeli. Ni urithi wao kutoka kwa Mungu yehova sio huyo Allah wenu anayechinja mpaka vitoto vidogo.Wewe Hilo bongo halina akili kabisa. Yaani Wapalestina wenye nchi yao ndo wagawanywe badala Dunia kugawanya Wayahudi! Hatari kweli kweli.
Kumekucha, kumekucha.Ex-Mossad chief Yossi Cohen has joined Israel's war effort; he is now at army HQ in Tel Aviv. Reminder: Cohen is an expert on Iran operations, and other things too.
Kajadili Simba na Yanga huku umepotea njia.Lipumba au?
Na wewe dishi limeyumba. Wafilisti na Wakanaani walikuwa lile eneo hata Kabla Ibrahimu hajahamia pale na wenyeji walimpokea na waliishi naye Kwa amani. Leo inakuwaje Filistine ndo iwe ardhi ya watu wa kukaribishwa TU na wenyeji isiwe kwako!mkuu ile sio ardhi ya wapalestina, ni ardhi ya wayahudi, ulimwengu wote unalijua hilo na wewe unajua hvo, sema watu mnajaribu kuyumbisha dish tu, watafute historia kuwa mababu zao walitoka wapi mpaka wakafika kwenye ardhi ya watu, wakishajua waende huko,
Nilisoma jarida la New York Times la 2005 ,2006 au 2003 kama sikosei ,katika andiko lao moja kipindi hiko Hamas ndio inachipukia na kushamiri niliona ikiwasifia na kiwapamba.Nasikia hamas ilianzishwa na mossad ili imdhibiti Yasser Araat. Baadae ikawageuzia kibao.
Mambo mengi tunapangwa.Nilisoma jarida la New York Times la 2005 ,2006 au 2003 kama sikosei ,katika andiko lao moja kipindi hiko Hamas ndio inachipukia na kushamiri niliona ikiwasifia na kiwapamba.
Wanasema zile ni sendo πΊπΊYesu maisha yake yote alivaa kobas. Kwahiyo wavaa kobas wanatakiwa waheshimiwe
Nyieee! Nyieee!! Utu TU mgambo utu mnahangaika hivyo?Hebu elezeni ukweli nyieee!!!!Wapinzani Wakuu wa Netanyahu wamekubali kuungana naye na Kuunda " Serikali ya Vita" iliyojiapisha kuifuta Hamas kwenye uso wa Dunia
Source Al jazeera
Muda mwingine ushamba na akili ndogo ni mzigo, Israel haiwezi kufanyaje wakati hadi sasa keshalipua Syria, Lebanon, Misri na JordanNa Israeli hawawezi kupigana na vikundi hivyo viwili vya Hamas na Hezbollah kwa pamoja peke yake, ni lazima Marekani ataingia.
You are brain washed by the Western colonialists.Namfuatilia kwa karibu sana PM Netanyau, nadhani baada ya huyu Israel haitakuja kumpata jemedari mwingine like this man.
Kuna kitu nadhani nimekiona, huyu jamaa alikuwa anajua kile Hamas wanaenda kufanya but aliacha makusudi ili afanye hiki tunachokiona.
Na wewe bongo lako haliko sawa vile vile msichekane mko sawa tu. Anyway sio kosa lako ni kuwa hujasoma historia ya Taifa la Israeli na pia hutaki kuijua.Wewe Hilo bongo halina akili kabisa. Yaani Wapalestina wenye nchi yao ndo wagawanywe badala Dunia kugawanya Wayahudi! Hatari kweli kweli.
Ni wavamiziWewe Hilo bongo halina akili kabisa. Yaani Wapalestina wenye nchi yao ndo wagawanywe badala Dunia kugawanya Wayahudi! Hatari kweli kweli.
Kazi nzuri sana ,Waliokuwa wanashangia majuzi wakati makombola ya roketi zaidi ya 5,000 yakielekea kutua Islael, huku mamia ya magaidi wa HAMAS wakivuka uzio moja kwa moja kwenda majumbani na kuanza kuchinja watoto na wamama wa ki Islael bila huruma - Leo hii vilio vimetawala nchi nzima, ni majonzi ya hatari - kweli hii inakwenda kuwa historia.
Hospitali zimezidiwa, umeme hamna, maji hamna, mawasiliano hakuna, chakula hamna na mafuta yanakwenda kwisha - sijui itakuwaje.
Inasikitisha sana lakini hili ndilo funzo kuu kufuga hawa wahuni & magaidi duniani kote.
Israel-Hamas war updates: Hamas claims release of woman and children
Here are the updates from the Israel-Hamas war on Wednesday October 11, 2023.www.aljazeera.com
Mkuu Jeshi la 6 kwa ubora duniani.hao hamas ni bora kuliko jeshi lako la walea vitambi
Hata Freeman AikaeliHata Mndela aliitwa gaidi. Sikushangai
Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa mwengine.