Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
DuhRais wa Israel ni mkuu wa nchi na cheo chake ni ceremonial tu.
Kazi zake huwa ni kuwapa vibali wajumbe wa Israel katika mataifa ya kigeni na kukubali hati tambulishi za wanadiplomasia wa kigeni wanaohudumu nchini Israel. Pia hutia saini kila sheria iliyotungwa na Knesset na mikataba na makubaliano na nchi za kigeni ambayo yameidhinishwa na Knesset.
Daah hii nilitaka nishangae, nilikuwa nishaanza kuwaza inawezekana hii michezo inapangwa makusudi ili mtu apate uhalali wa kutembeza kichapo, huyo sheha wa Israel aliyetoa hiyo taarifa apigwe makofi.Israeli air force says infiltration from Lebanon ‘ruled out’
The update comes after the head of a regional council in northern Israel said manned paragliders from Lebanon had landed inside of Israel.
“Further to the reports of infiltration from the Lebanese border into Israel’s airspace, as of now fear of infiltration has been ruled out,” the airforce said on X.
The Israeli army also withdrew its call for Israelis to take shelter, saying the warning was caused by human error.
Unaweza kunifahamisha zaidi kwa nini hawezi?Na Israeli hawawezi kupigana na vikundi hivyo viwili vya Hamas na Hezbollah kwa pamoja peke yake, ni lazima Marekani ataingia.
Hata allah husaidiwa na binadamu kuhukumu au kumtetea kipi cha ajabu kwa israel na marekani?Nimegundua wa israel ni kama ligi ya england tu imepigwa promo lkn ……. Ikiwa panya road tu wa mtaan mpaka waombe misaada kwa mataifa mengine je akikutana na…..! Napita tu
Mbona sasa mpangaji Mkuu kaufyata na jana yule Mkuu wao wa Nchi alikuwa ana deny kuhusika.Ama kweli ukiwategemea Arabs na Persians wakusaidie katika dhiki mambo yakienda kombo wanakutelekezaHaukua false flag, ila walijua linapangwa, na Iran alikua ndiye engineer, lakini waliliacha litokee.
Wameshawahishwa kwa mnyazimngu tayari kila mtu kupata mabikra wake huku wanaogelea kwenye mito ya ulevi 😂😂😁😀😀. Hypnotized minded people, huko ni moto tupu baada ya kufa. Mungu hapiganiwi wala hatetewi anajitetea mwenyewe.Mbona tayari wameshakuwa 'ruled out' au hiyo update hujaisoma?
Na alikua wa kwanza kupiga simu kupongeza, kiongozibwa Hamas akasema hadharani kuwa wamepongezwa naye. Baada ya kuona mziki umebadiliki wakaanza kujisafisha kuwa hawakuhusika na chochote.Mbona sasa mpangaji Mkuu kaufyata na jana yule Mkuu wao wa Nchi alikuwa ana deny kuhusika.Ama kweli ukiwategemea Arabs na Persians wakusaidie katika dhiki mambo yakienda kombo wanakutelekeza
Kwakweli nimependaHizo ndio katiba za nchi sasa! Serikali inaweza kuji-adjust quickly depending on the prevailing situation!
Kwa situation waliyo nayo kwa sasa Cabinet inatakiwa iwe na makomandoo zaidi na security strategists wenye sifa na sio chawa!
Hali iliyopo ikiisha serikali inaji-adjust tena accordingly. Kwa shitholes wanaoona vyeo vya kisiasa ni ajira ni tatizo sana.
Kama wamemuachia basi jua wame muachia kwa makubaliano maalum aidha kwa kubadilishana na mateka maana na Israel kuna baadhi ya wapiganaji wa hamas iliwateka kwenye mapigano ya kusini mwa Israel .Wameaanza kujuta ndio kwanza Israel hawajaanza hata
Kazi , bado hawajasave
View: https://twitter.com/Jerusalem_Post/status/1712207843464536403?t=RIYTzFdNIS1lOmrjQK7bQQ&s=19
Sasa kwanini mliwateka kama sio ujinga
Huyo nae ni wa kumtaja, mchumia tumbo alitaka kuleta ujinga wake.Alitaka kucheza na dikteta akafyatwa.Hata Freeman Aikaeli
Upo kwao kwa mabavu, hayjaanza leo hayo. Kila siku wapalestina wanauliwa.unapigania uhuru kwa kuwachinja na kuwaua watu wapo kweny party ambao sio wanajeshi wala sio wawakilishi wa watendaj wa serikali yoyote , HV WEW BIBI UNAJITAMBUA ?KABLA HUJAANDIKA FIKIRIA KWANZA , MANDELA KUITWA GAID INAEZA IKAWA KWEL AU ISIWE KWELI ILA HAIHALALISHI USHETAN WA HAMAS KWA RAIA WEMA
maneno yako matano ya mwanzo yameshajibu swali langu, mengine ni porojo tu.hamas ni raia wa palestina waliochaguliwa na wapalestina kupigana kwa ajili ya wapalestina so chochote wanachokifanya lzm wajue kina matokeo chanya au hasi kwa wapalestina
Si walisema watawachinja na kuwaonyesha live mitandaoni?View attachment 2779398
Mateka walioachiwa ni mwanamke na wanawe wawili ambao walishikiliwa kuanzia Jumamosi.
Source: Aljazeera Newz